Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
- Thread starter
- #61
No one could have put this better than this. Hebu nisaidie kumjibu dogo hapo juu maana maswali ni ya kiPhd.
haya maisha ni matamu sana kujiwekea muda wa kumshuku mtu......
yaani nikikushuku tu unakaa pembeni ya maisha yangu. haijalishi wewe ni ndugu yangu au mpenzi. napenda kujiachia. sipendi kufanya kitu nikiwa nawaza NIKIONWA AU KUSHTUKIWA ITAKUWAJE....
nafurahia ninavyoweza kushi na kumsimulia mpenzi wangu upuuzi wangu na mambo yangu mazuri nikiwa nina uhakika wa either kupongezwa au kupewa ushauri bila kufikiriwa mpuuzi kwa jambo nililofanya.
machale machale machale...... hivi kwa nini niwe na mtu ambaye naishi naye kwa machale?
kwa nini niendelee kumtumia ndugu ambaye najua natakiwa kufanya naye kazi kwa machale?
hivi unajua unapojihusisha na watu kama hao unatumia muda wako mwingi sana kujilinda kuliko kufanya mambo ya maendeleo?
hata kama ni boss, ukiwa unaishi naye kwa machale utaishia kufanya yale yanayompendeza yeye tu badala ya kupanua wigo wa professional yako kwa kujaribu vitu vipya ambavyo vitaletea faida ofisi.