Tujadili: Dunia ya machale!!!!!!!!

Tujadili: Dunia ya machale!!!!!!!!

No one could have put this better than this. Hebu nisaidie kumjibu dogo hapo juu maana maswali ni ya kiPhd.
haya maisha ni matamu sana kujiwekea muda wa kumshuku mtu......
yaani nikikushuku tu unakaa pembeni ya maisha yangu. haijalishi wewe ni ndugu yangu au mpenzi. napenda kujiachia. sipendi kufanya kitu nikiwa nawaza NIKIONWA AU KUSHTUKIWA ITAKUWAJE....
nafurahia ninavyoweza kushi na kumsimulia mpenzi wangu upuuzi wangu na mambo yangu mazuri nikiwa nina uhakika wa either kupongezwa au kupewa ushauri bila kufikiriwa mpuuzi kwa jambo nililofanya.
machale machale machale...... hivi kwa nini niwe na mtu ambaye naishi naye kwa machale?
kwa nini niendelee kumtumia ndugu ambaye najua natakiwa kufanya naye kazi kwa machale?
hivi unajua unapojihusisha na watu kama hao unatumia muda wako mwingi sana kujilinda kuliko kufanya mambo ya maendeleo?
hata kama ni boss, ukiwa unaishi naye kwa machale utaishia kufanya yale yanayompendeza yeye tu badala ya kupanua wigo wa professional yako kwa kujaribu vitu vipya ambavyo vitaletea faida ofisi.
 
kila kitu kiende kwa kiasi..
sio vizuri kuishi roho juu at all times na pia sio vizuri kuishi kama uko naive at all times..
mimi sheria yangu ni,kama mtu hajanipa any reason ya kumdoubt,why should i?nitajiskia vibaya sana pale ambapo namhisi mtu vibaya(bila sababu)then inakuja kutokea ndo the best person ever..
hata kama i have had bad experiences with trust issues ila new people deserve new experiences na kama ni wazamani basi nitakudelete kidogo kidogo,nikiona ndo kamchezo kako then namdelete kabisa.kuliko kuishi na mtu ambae imani yako kwake ni zero,huna uhuru hata wa kuongea..

nakubaliana pia na wengine,thinking you are the best,you are always right,you know better,you are a saint in the making etc all some up to being selfish..na inaweza kuwa sababu kubwa.

And asante for the breath of fresh air,new post!:smile-big:
 
Huwa naikubali sana michango yako, na thanks a lot kwa kuibless thread hii kwa mchango huu makini. Hata nami naona si fair kumhisi mtu ubaya kutokana na makosa ya mwingine.

kila kitu kiende kwa kiasi..
sio vizuri kuishi roho juu at all times na pia sio vizuri kuishi kama uko naive at all times..
mimi sheria yangu ni,kama mtu hajanipa any reason ya kumdoubt,why should i?nitajiskia vibaya sana pale ambapo namhisi mtu vibaya(bila sababu)then inakuja kutokea ndo the best person ever..
hata kama i have had bad experiences with trust issues ila new people deserve new experiences na kama ni wazamani basi nitakudelete kidogo kidogo,nikiona ndo kamchezo kako then namdelete kabisa.kuliko kuishi na mtu ambae imani yako kwake ni zero,huna uhuru hata wa kuongea..

nakubaliana pia na wengine,thinking you are the best,you are always right,you know better,you are a saint in the making etc all some up to being selfish..na inaweza kuwa sababu kubwa.

And asante for the breath of fresh air,new post!:smile-big:
 
Huwa naikubali sana michango yako, na thanks a lot kwa kuibless thread hii kwa mchango huu makini. Hata nami naona si fair kumhisi mtu ubaya kutokana na makosa ya mwingine.

Amina Kaunga..
am humbled na maneno yako..
And again,life is too short kuishi kama ndege sa zote wondering nani atakumaliza..
 
Hata Mama yako Mzazi yafaa uishi naye kwa "machale"...!

Ni hayo tu...!
 
Kuna ile ya kushindwa kumfanyia ubaya mtu hata kama unewazia just kwakuwa anakuamini. Kwa maneno mengine trust can be contigious, l mean waweza muinfluence mtu positively kwa kumtrust na pia waweza mpeleka mtu further apart kwa kuishi naye kimachale.
 
Dunia bila kuishi kwa "machale" haiwezekani na kwa level ya mtu mmoja mmoja bila kuwa na "machale" huwezi "kufanikiwa"...!
Yaani dunia ya leo ndipo ilipofikia, too much disappointments lakini pia watu wamekuwa so unhappy kiasi kwamba hata rate ya suicide imeongezeka; why? No one to talk to as you shouldn't trust a soul. I think it is the devil's trick hiyo.
 
lakini hebu tuwaze hiv
HIV MTU KUWA TRUSTED KUNAANZA NA KUWA TRUSTFUL ENH?
Exactily
LAKINI JE KUWA TRUSTFULL KUNAKUFANYA UKAWA TRUSTING?
Vina mahusiano hivyo
kipi kinaanza na kumaliza hapo?
Unatakiwa ujue kujiamini kwanza
machale mpaka wake ni upi?
Mpaka wa hii kitu ni kutegemea na wewe unavyoijua
kipindi kipi na kwa nani natakiwa kuwa na machale?
Machale hayatakiwi yatafutwe
Huja yenyewe
machale yanaweza kubreshwaje?
Sidhani kama hili linawezekana
na nikiwa sikuamini ndo unakuwa muaminifu au ndo unakuwa sio muaminifu kabisaa?
Kuna mtu kutokumuamini mtu mwingine kwasababu yeye hajui kuamini
Kuna kutokumwamini mtu kwakuwa haaminiki
Usichanganye hayo
lakiiiini hiv kwanini nikuamini?
Kwasababu maisha hayawezi kwenda bila Imani
na kwanini niamini kuwa unaniamini?
Kwasababu ni hitaji la kimaisha
Yaani unatakiwa uamini unamuamini mtu kwakuwa unatakiwa kufanya hivyo ili maisha yaende
kwanini niseme sina shaka na huyu aua na hiki?
Kwasababu anaaminika
kuamini kuliwahi kunipa faida na hasara wapi?
Hata hili unataka nikujibu mimi?
dah! Eiyer come zis way!
Nimeshatia timu tayari!
 
Not always, kuna trust ambazo ni zinaambikiza kuna zingine haziambukiziki

Each case will be treated differently. Na kumuamini mtu katika jambo A, haimaanishi utamuamini katika mambo yote. Kuna mtu unamwamini katika jambo A 100%, lakini unamwambini katika jambo B 40%.


Mfano, kuna mtu unaweza mkabidhi mamilioni yako ayapeleke nyumbani, na yakafika bila hiyana lakini mtu huyo huyo huwezi mkabidhi mkeo wala binti yako hata kumfikisha mlango wa chumba ulichopo, atamtongoza tu, iwe kwa maneno au vitendo.

Kuna ile ya kushindwa kumfanyia ubaya mtu hata kama unewazia just kwakuwa anakuamini. Kwa maneno mengine trust can be contigious, l mean waweza muinfluence mtu positively kwa kumtrust na pia waweza mpeleka mtu further apart kwa kuishi naye kimachale.
 
No one could have put this better than this. Hebu nisaidie kumjibu dogo hapo juu maana maswali ni ya kiPhd.
huyo dogo maswali yake utagundua tu ni mwalimu originally.......
unatakiwa kuwa na zaidi ya post doc kujibu maswali yake kiusahihi...
mi namwangaliaga tu.
cc. snowhite
 
Last edited by a moderator:
Not always, kuna trust ambazo ni zinaambikiza kuna zingine haziambukiziki

Each case will be treated differently. Na kumuamini mtu katika jambo A, haimaanishi utamuamini katika mambo yote. Kuna mtu unamwamini katika jambo A 100%, lakini unamwambini katika jambo B 40%.


Mfano, kuna mtu unaweza mkabidhi mamilioni yako ayapeleke nyumbani, na yakafika bila hiyana lakini mtu huyo huyo huwezi mkabidhi mkeo wala binti yako hata kumfikisha mlango wa chumba ulichopo, atamtongoza tu, iwe kwa maneno au vitendo.

Una utani na kaka zake snowhite na Fixed Point nini?
 
Last edited by a moderator:
I think so, ninamwamini mtu anaponipa sababu za kumwamini, otherwise nina trust issues.

How come umekuwa na trust issues, the world taught you this au you just too cautious.
 
Back
Top Bottom