Tujadili: Dunia ya machale!!!!!!!!

Tujadili: Dunia ya machale!!!!!!!!

Kwenye uzi ule ulizungumzia umuhimu wa uaminifu kwa wana ndoa, ndio maana nikasema nilitegemea mchango unahamasiha uaminifu; au sivyo ulivyomaanisha kwenye post yako ya awali?

Na nimekuuliza pia kuwa machale ni remedy au silaha ya kujihami na kuvunjika kwa uaminifu? Sasa kila mtu akijihami hiyo familia itakuwaje au hayo maisha yatakuwaje au hiyo partnership katika biashara itakuwa vipi?

Nimekupata Kaunga nafurahi kama u grabbed that virtue as well. Nilidhani umenielewa ndivyo siyvo lol

Unajua binadamu tabia zake ni predictable...as a rational being kuna wakatininamfanya a act irrationally.na ndiposa inabidi kuweka control.mechanisms. kwenye biashara kuna.mikataba for the same reason na hiyo in my opinion inafanya.maisha kuwa marahisi zaidi...while ktk.ngazi ya familia kama mke na.mume ili kuhakikisha usalama wa.muungano kunakuwa.na maagano na a signed contract.....so kuwa.na machale.ni.muhimu kwa kuwa inafahamika madhara yake.endapo tutachukulia poa tu
 
Last edited by a moderator:
mi nafikiri watu wanaaminiana sana, wapo wengi tu wanaingia kwenye biashara bila hata makubaliano ya kimaandishi, hapo wanaongozwa na kuaminiana.
tuna wapenzi wetu na tunashiriki nao sex, ni imani hiyo mpaka kuoneshana viungo vyenu vya uzazi.
trust ipo sana sema tu kinachosumbua wengi ni hofu ya kutendwa lakini huwezi ukafanya yote hayo bado useme huwaamini watu wako.

mimi ni mmoja wa watu wanaoamini mtu kabla na kutomuamini baada ya kutendwa; nilijaribu kuishi kwa machale nikajikuta nakosa amani nimeona l am the best person nikiwa the way l am trustful. Hivyo nakubaliana na wewe kuwa wengi bado tunaaminiana hata baada ya kuumizwa mara kadhaa. Na nakubaliana na lara 1 kuwa mtu akikusaliti mara ya kwanza ni aibu yake, lakini mtu huyo huyo akikusaliti tena na tena basi wewe ni fool.

Kuhusu hofu ya kutendwa hiyo ni indication kwamba huna imani tena; yaani umejaa negative thoughts na huenda unaweza kumuambika mwenzako naye akawa na hofu na matokeo yake akakutenda kweli (in his mind, kabla wewe hujamtenda). Imani inaendana na kuwa na uhakika au positive thoughts.
 
Last edited by a moderator:
mi nafikiri watu wanaaminiana sana, wapo wengi tu wanaingia kwenye biashara bila hata makubaliano ya kimaandishi, hapo wanaongozwa na kuaminiana.
tuna wapenzi wetu na tunashiriki nao sex, ni imani hiyo mpaka kuoneshana viungo vyenu vya uzazi.
trust ipo sana sema tu kinachosumbua wengi ni hofu ya kutendwa lakini huwezi ukafanya yote hayo bado useme huwaamini watu wako.

mmmm....imani hiyo Husninyo madhara yake umeyafahamu bila "kishikilio" cha hiyo imani.....halafu usipoonyesha viuongo vya uzazi utapataje watoto,.,,,mficha u.chi hazai:tape:
 
Last edited by a moderator:
mimi ni mmoja wa watu wanaoamini mtu kabla na kutomuamini baada ya kutendwa; nilijaribu kuishi kwa machale nikajikuta nakosa amani nimeona l am the best person nikiwa the way l am trustful. Hivyo nakubaliana na wewe kuwa wengi bado tunaaminiana hata baada ya kuumizwa mara kadhaa.
.

hata mimi kuishi kwa machale kulinishinda, unaweza jikuta hauna furaha maisha yako yote kwa kufikiria mabaya unayoweza kutendewa. huwezi kuamini kila mtu lakini kuna baadhi ya matendo ya mtu yanaweza ashiria kuwa ni muaminifu (hapo utakiwi kuchunguza sana kama FBI kufikia hiyo conclusion). hebu fikiria asubuhi unatoka unamuacha mtoto na housegirl, kama humuamini ina maana utakuwa unawaza nyumbani tu muda wa kazi. tunatakiwa tusizipe nafasi hofu zote zitokanazo na kukosa imani.
 
Ndio, usipoamini mtu hata mmoja maisha ynakuwa magumu sana, kila saa unakuwa 'on guard'

Kuna msemo kuwa 'kuamini watu ni hatari, lakini kutoamini hata mtu mmoja ni hatari zaidi'

Nafikiri Eiyer alimaanisha maisha yanakuwa magumu usipoamini watu, usipoamini huyu dreva atakufikisha salama kazini, usipoamini hayo maembe uliyonunua hayajadungwa sindano za sumu, usipoamini kuwa housegirl hajakojolea mkojo kwenye chai yako, usipoamini nyama choma uliyokula huenda ni nyama ya mbwa etc. Labda hii nimeexagerate lakini ofcourse as you said huwezi muamini kila mtu kwa baadhi ya mambo lakini you got to trust someone, awe mume, mke, dada, rafiki haijalishi. It is okay kuwa na siri walau moja au mbili lakini zile zisizo na madhara makubwa.
 
mmmm....imani hiyo Husninyo madhara yake umeyafahamu bila "kishikilio" cha hiyo imani.....halafu usipoonyesha viuongo vya uzazi utapataje watoto,.,,,mficha u.chi hazai:tape:

umeona eeeh! bila imani utamu wa hayo makitu ningekuwa siujui. lol, ila sina imani na wewe ankal.
 
Back
Top Bottom