miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Aiseee!,.....:shocked::tape:
wewe unapenda?
Aiseee!,.....:shocked::tape:
asante kwa mchango wako, it makes a lot of sense; lakini bado naona sio kitu kizuri sana kwa afya ya huyo mtu na pengine sio fair kwa wale watu ambao anapaswa kuwaamini. Is there anything which can be done ili aweze kuamini watu tena? au labda ni mimi tu ndio naona kama ni tatizo kutomuamini mtu hasa yule ambaye unapaswa kumuamini kama spouse vile.
wewe unapenda?
ikimbie zinaaa sipendagi hata kidogo!!!hata kidogo!:shocked::tape::car::car::a s-coffee::a s-coffee:
Wewe unapendaga?
Kaunga,Duh maswali magumu haya, tumuite na EMT pia huenda akatusaidia. Ila mimi nafikiri kama sijapewa sababu ya kutomtrust mtu basi sina sababu ya kutomtrust. Sasa kwa kiwango gani nitamtrust itategemea namtrust na kitu gani? Mfano l want to do business with you, ninapaswa kutrack record yako of course baada ya wewe kunipa maelezo yako. Baada ya kujiridhisha then sina machaguo zaidi ya kukutrust with my money.
i wish i wish i wish!!!!!!!!!!!
Usijali
Kuna jambo ambalo unatakiwa kulifanya!
embu nidokeze jambo gani hilo me nipo serious nahitaji kweli ....
Nikitulia nitaku-PM!
Sijui nilikua wapi sikuuona huu uzi. Ni kweli anything too much ni harmful . Kwa mtazamo wangu too much machale haiko njema, na ktk mahusiano jambo jema ni kuaminiana kwa 100%. Huwa sijui unawezaje kumuamini mtu kidogo na huku unaishi nae kama mume au mke. Historia ya nyuma haifai kuiapply kwa kila unaekutana nae. Ni vizuri kumpa mtu nafac.Aisee, mimi naona ni kama kuwa paranoia fulani hivi when you live around too much machale. Usiniulize what is too much and what is too little; yaani kuna watu muda wote wanahisi kutendwa tu hawana amani kabisa, nilikuwa na jirani yangu yeye kila mtu au anamuhisi mchawi au kama ni mwanamke basi anamzengea mumewe. Honestly nilikuwa namuhurumia.
Yaani umeongea jambo la kweli kabisa mkuu. Tena unajua ukiwaambia kuna nchi zingine mtu akiokota pesa au kitu cha thamani anapeleka police wanashangaa na wengine akiona kitu si chake hakichukui hata kama ana shida nacho. Tz bado tuna safari ndefu ya mabadilikoNiambie ni Watanzania wangapi ambao wakirudishiwa chenji zaidi ya wanayostahili huwa wanamrudishia mwenye duka?