trusting makes you vulnerable and some people exploit this and hurt you 'very badly'. if i give you myKuishi kwa machale
Kuongea kwa machale
Kupenda kwa machale
Urafiki wa machale
Ushirika (biashara) wa machale
Undugu wa machaleKanisani machaleNajua ni ngumu kumuamini kila mtu, lakini naona maisha ni magumu sana kwa kutomuamini mtu yoyote. Katika ndoa kila mtu anamtegea mwenzie, yaani hata kuufungua moyo wako kwa mpenzio unaogopa kwa kuhisi tu mwenzio atauexploit na kukuumiza. Where is the trust?
Misikitini machale
Kazini machale
Kwenye familia machale
Kwenye ndoa machale
Kwenye masuala ya mali ndio kabisa, kila mtu anatoa ukweli nusu au hata pengine robo hii ni hatari sana kwa maoni yangu. Matokeo yake tunakuwa wapweke sana kwa kuwa tuna siri nyingi sana ambazo hatuzishei; licha ya upotevu wa mali unaotokea pindi mmiliki wa siri anapotangulia.
Labda swali la kujiuliza hapa, chanzo cha kuishi kimachale au kuangalia kila kitu kwa jicho la tatu if you may ni nini? Ni kujifunza kutoka kwa makosa ya wengine? je mazingira ya kutokea kwa hayo makosa ya wengine ni the same? Au waliokosea wanafanana na hawa wenzi wetu kwa kila kitu?
Wana jamvi kuna shida gani ukimuamini mtu?
Karibuni tujadili.
me tooUjue Kaunga, mie huwa siamini kama ninamwamini mtu kwa sababu nimeamua kumwamini, huwa ninamwamini mtu sababu ame-earn trust yangu. Vile vile na mie huwa nahisi mtu ananiamini sababu nime-earn trust yake.
Hapa nina ushuhuda kabisa.
uuwwwiiiiii, hii ilimkosti mtu...... anajuuutaaaa kusikiliza maneno ya watu.....yaani kuna hundred and one mifano ya hivyo kwa upande wa mali, lkn hata emotional machale ipo hasa kwa wababa. Usasikia wanaambizana "usimuoneshe mwanamke kuwa unampenda sana, atakusumbua" really? Matokeo yake anakuwa na mashaka na upendo wako kwake, n we both know nini kitatokea akimpata atakaye muonesha upendo.
.unajua, kwa #AfyaYaAkili yako mwenyewe, jitahidi kujizuia mambo .kwa "kiasi" au #KiwangoMaalum.
Ukiendekeza sana haya #Machale kiasi kwamba #UnashindwaKuReason, utajikuta unakuwa "Mtumwa"
wa fikra ndio inazaa hizo Paranoia!
#Machale sio lazima yakutoe raha, .yapo kwa ajili ya kukusaidia kukusukuma mpaka mwisho wa mpaka kabla
mambo hajajafikia #ThePointOfNoReturn!
mhhhhhhhhh basi kama hivyo nitaishi kimachale na wewe ,kwa sababu ukifika bank sijui inakuaje ukiona change za pale counter?
Ujue Kaunga, mie huwa siamini kama ninamwamini mtu kwa sababu nimeamua kumwamini, huwa ninamwamini mtu sababu ame-earn trust yangu. Vile vile na mie huwa nahisi mtu ananiamini sababu nime-earn trust yake.
Hapa nina ushuhuda kabisa.
Umeona eeh, yaani mimi naona madhara zaidi ya kutomuamini kuliko kumuamini. Na come to think of it, nahisi mtu anayejiamini yuko more likely kuamini wengine kuliko aso jiamini au ajiaminiye kidogo.uuwwwiiiiii, hii ilimkosti mtu...... anajuuutaaaa kusikiliza maneno ya watu.....
mada nzuri rafiki.
wengine machale yetu yapo mbali sana, lol! 100% trust
Ujue Kaunga, mie huwa siamini kama ninamwamini mtu kwa sababu nimeamua kumwamini, huwa ninamwamini mtu sababu ame-earn trust yangu. Vile vile na mie huwa nahisi mtu ananiamini sababu nime-earn trust yake.
Hapa nina ushuhuda kabisa.
haya maisha ni matamu sana kujiwekea muda wa kumshuku mtu......Umeona eeh, yaani mimi naona madhara zaidi ya kutomuamini kuliko kumuamini. Na come to think of it, nahisi mtu anayejiamini yuko more likely kuamini wengine kuliko aso jiamini au ajiaminiye kidogo.
ha haaaa, tupo tofauti....Kama hajakupa sababu ya kutomuamini hautamuamini kisa hajakupa sababu za kutosha za kumuamini?
waoh, nimependa sana ulivyonyambulisha vizuri. Thanks buddy!
Sasa kuhusu kutomuamini mtu 100%, je kwa mwenzi wako wa ndoa ni % ngapi za kumuamini zinazotakiwa? Na kuna shida gani nikimuamini 100% hata kama akinidisappoint si ni tatizo lake na sio langu. Tunapokuwa na reservation na wapenzi wetu huoni kama inatufanya tuzidi kuwa far apart?
yaani sidhani kama kuna siku atakuwa hana machale yule; na hivi..............
Kuishi kwa machale
Kuongea kwa machale
Kupenda kwa machale
Urafiki wa machale
Ushirika (biashara) wa machale
Undugu wa machaleKanisani machaleNajua ni ngumu kumuamini kila mtu, lakini naona maisha ni magumu sana kwa kutomuamini mtu yoyote. Katika ndoa kila mtu anamtegea mwenzie, yaani hata kuufungua moyo wako kwa mpenzio unaogopa kwa kuhisi tu mwenzio atauexploit na kukuumiza. Where is the trust?
Misikitini machale
Kazini machale
Kwenye familia machale
Kwenye ndoa machale
Kwenye masuala ya mali ndio kabisa, kila mtu anatoa ukweli nusu au hata pengine robo hii ni hatari sana kwa maoni yangu. Matokeo yake tunakuwa wapweke sana kwa kuwa tuna siri nyingi sana ambazo hatuzishei; licha ya upotevu wa mali unaotokea pindi mmiliki wa siri anapotangulia.
Labda swali la kujiuliza hapa, chanzo cha kuishi kimachale au kuangalia kila kitu kwa jicho la tatu if you may ni nini? Ni kujifunza kutoka kwa makosa ya wengine? je mazingira ya kutokea kwa hayo makosa ya wengine ni the same? Au waliokosea wanafanana na hawa wenzi wetu kwa kila kitu?
Wana jamvi kuna shida gani ukimuamini mtu?
Karibuni tujadili.
lakini hebu tuwaze hiv
HIV MTU KUWA TRUSTED KUNAANZA NA KUWA TRUSTFUL ENH?
LAKINI JE KUWA TRUSTFULL KUNAKUFANYA UKAWA TRUSTING?
kipi kinaanza na kumaliza hapo?
machale mpaka wake ni upi?
kipindi kipi na kwa nani natakiwa kuwa na machale?
machale yanaweza kubreshwaje?
na nikiwa sikuamini ndo unakuwa muaminifu au ndo unakuwa sio muaminifu kabisaa?
lakiiiini hiv kwanini nikuamini?
na kwanini niamini kuwa unaniamini?
kwanini niseme sina shaka na huyu aua na hiki?
kuamini kuliwahi kunipa faida na hasara wapi?
dah! Eiyer come zis way!