Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
still bado mnapata confusion enh!
ngoja nikupeni mfano mmoja hapa, gfsonwin ni nice looking woman, ambaye ana attract attention ya kila mwanaume but yeye hayuko mzuri kama Kongosho ambaye ni very attractive woman na kila akiwa na mtu ama la soko lake lina panda zaid.
gfsonwin yeye kwasabbu ya haiba zake anajua kwake kuolewa na baba klein ndo mwisho to her anakazna kutetea penzi lake kwa baba klein kwa gharama yyte ile ya busara na akili yake. kongosho kwasabbau soko lake lipo juu sana haoni sababu ya kubembeleza mtu once you get out of her life zombie mwingine comes in thru the window and ame get used to it hadi haoni sababu ya kuumiza kichwa juu ya kumake her love alive.
mpaka hapo utagundua kwamba despite wote ni wazuri tu Kongosho anamzii gfsonwin sana kwenye uwezo wa kuvutia, na gfsonwinkwakujua kwamba akimkosa baba klein atakula mbichi basi anajitahd kuvumilia na kuwa very obidient kwake hata kwa yale ambayo ni magumu kwake.
diclaimers------jst an example tu.
wema ni attractor and not keeper kwangu mm keeper ni MONALISA
hahahahahah! wewe ni keeper huon umemkeep zombie??Nachaanganyikiwa kama nini, sijui kama naelewaa.
Hivi mie ni keeper au attractor?
Mrombo wangu Preta is every thing, physical attraction ilikuwa namba wani(yupo white, mnene wastani na sura ya Kirombo, yupo short na mwaya kidogo), nilipomtupia neno alinijibu kwa lugha ya kistaarabu, sauti yake ilikuwa of low tone, ilinitia raha kuisikia. Baada ya muda mchache akawa ameuteka moyo wangu kwani huyu mdada ni mshauri mzuri sana, (kwa masuala ya kijamii na uchumi, siasa hapendi) msaidizi asiyetiliwa shaka(Hodari wa kazi za ndani na nje), Kiongozi mzuri sana pale nilipofyatuka(kuna wakati akili yangu ilitaka kuhamia kwa charminglady lakini huyo mrombo hakuniacha nipotee) na mwisho Preta wangu ni mcha Mungu sana, mie biblia tangu niliposoma skuli enzi za baibo study lakini huyu wangu alikuja na biblia yake na kunanzishia vipindi vya kusoma biblia nyumbani na wiki ijayo nikirudi toka huku Tabora amesema anaenda kunitambulisha kwa kiongozi wa kwaya Nicas Mtei (shemeji) nianze kuimba kwaya!
Kwa sababu hizo nikaona loooh, kitu si ndo hicho, basi bila talalila nikaamua kuwa KEEPER
hapo ndo haswa utakugundua kuwa wewe ni kipa......kimbembe uwe keeper kwa wasio keepika!
ha haaa, pole mlongo wangu...Dada Mwonilih! Habari za magono!!
Wifi yako Preta yupo mpweke nimesafiri, uwe unasalimia na kumtembelea maana vagosi vangi vavii ngati makoko!!
Nafikiri mie ni gud Keeper lolz!
Attractor not very sure lolz.
Nachofanya..
1.Kuridhika na niliye nae na kujifunza kuyakubali mapungufu yake,
2. kuendelea kujifunza sanaa ya malavi davi kila iitwapo leo,
3. kuhakikisha na maintain tabia zangu njema na Kufanyia kazi mapungufu yangu
4. Kufanyia kazi muonekano wangu.. Mavazi, size n.k
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mkuu Nicas Mtei mie penda sana Preta ttz kila kidume humu anamnyemelea ...nishachoka mie..nicje kumkibanda mtu bureee...humuhivi mtu chake ame rizain?
mkuu Nicas Mtei mie penda sana Preta ttz kila kidume humu anamnyemelea ...nishachoka mie..nicje kumkibanda mtu bureee...humu
Hahahaha Kaunga, mie kwa uchunguzi wangu nimegundua the more unamganda mtu the more hataki kuwa na wewe, bali ukimwacha ukampa nafasi ya kukumiss, kama vile anakuja resi, hii nimeiona kwa mdada mmoja hivi nilimpa ushauri ukafanya kazi, sasa hivi katulia kwenye ndoa yake takatifuHow??? Fafanua tafadhali.
One can be both, attracter and keeper. It may happen that an attracter can't keep, and that's really complicated.
Attraction comes mainly from the physical appearance of an individual, the way they talk, laugh, smile, etc. But aint enough to keep someone. Guys who lack attraction often try so hard to convince smb but once they manage to do so, they succeed in keeping them coz they know how hard it is to get them, attracters mosty dump easily, they don't care coz of their looks, they are confident, they are admired by lots of people so for them, dumping isnt an issue.
Aahahh; okay. It is another way of dealing with hawa viumbe tunaowapenda.Hahahaha Kaunga, mie kwa uchunguzi wangu nimegundua the more unamganda mtu the more hataki kuwa na wewe, bali ukimwacha ukampa nafasi ya kukumiss, kama vile anakuja resi, hii nimeiona kwa mdada mmoja hivi nilimpa ushauri ukafanya kazi, sasa hivi katulia kwenye ndoa yake takatifu
Hahahaha Kaunga, mie kwa uchunguzi wangu nimegundua the more unamganda mtu the more hataki kuwa na wewe, bali ukimwacha ukampa nafasi ya kukumiss, kama vile anakuja resi, hii nimeiona kwa mdada mmoja hivi nilimpa ushauri ukafanya kazi, sasa hivi katulia kwenye ndoa yake takatifu
ila kweli!
kuna wakati hii mbinuhii huwa inasaidia sana!
yani unamkeep mtu bila kujijua kuwa unamkeeep like hutaki ajue kuwa he/she is tht keeeeepable
ile anakuja kustuka kuwa hutaki kumkee[ yeye ndo anataka kukipeeka sasa!anajikeepishaaaaje!
Anajikeepisha; l just love it! Lol