Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,568
- 70,536
Hongera mkuu, ni vizuri tuki support vya kwetu.tayari nimeshamtia kura Maxence Melo
Mkuu nikifata hatua uoizotaja hapo mbona inachanganya???
Kizibo
Kwa wingi wetu humu hii tuzo tukiikosa itakuwa syo poa kabisa hebu tumsapoti Mello atwaye hii tuzo .Tupo wengi sana humu ndan hebu twendeni kwenye hyo link kwapamoja tukapge kura
Jamiiiforum oyeeeeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
tayari nimeshamtia kura Maxence Melo
Hahaha ndugu mjumbe huwezi kuiacha pombe labda na yenyewe ikubali muachane.Kama Melo hajatupia like hapa, basi naacha pombe kuanzi kesho...teh
By the way, tayari nimesha piga kura mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app