kumbe hata chadema kuna wala na watoa rushwa? Du, na misifa yote wanayojipa.
Chadema haikumbatii watoa rushwa ndiyo maana ikamuengua habibu mchange! Tunge nyamaza mngesema hawa ni wale wale tumesema mnasema tunataka sifa, sasa mnataka tufanyeje
kumbe hata chadema kuna wala na watoa rushwa? Du, na misifa yote wanayojipa.
Rushwa/Ufisadi uko kila sehemu tatizo ni jinsi mnavyo washughulikia mfano mbaya ni CCM na akina Kikwete, Lowasa, Rostam, Chenge hawa watu ni baadhi ya mafisadi wakubwa lakini serikali haitaki waguswe hapo ndipo tunapo tofautiana mkuu.....kumbe hata chadema kuna wala na watoa rushwa? Du, na misifa yote wanayojipa.
Mkuu acha Kamba kwa kunogesha Kijiwe!
Hata mimi naona kama kajamaa kanataka kutufunga kamba za mgomba hapa!!
kumbe hata chadema kuna wala na watoa rushwa? Du, na misifa yote wanayojipa.
Rushwa/Ufisadi uko kila sehemu tatizo ni jinsi mnavyo washughulikia mfano mbaya ni CCM na akina Kikwete, Lowasa, Rostam, Chenge hawa watu ni baadhi ya mafisadi wakubwa lakini serikali haitaki waguswe hapo ndipo tunapo tofautiana mkuu.....
Mkuu kama maneno ya Never yana imanisha ulichokiandika basi wako wengi.....mkuu Never
umesema vikao vilisimamiwa na SHIBUDA, kwa hiyo SHIBUDA alisimamia maovu ndani ya chama, kama sijakuquote vibaya, na kama ni hivi huyu mzee atakuwa ni agent aliyetumwa kusambaratisha CHADEMA,
Kwanza kwa taarifa yako yale ni zaidi ya malori ni Mitambo ya uenezi, pili hakutaka chama ndicho kilitaka, na issue iliwekwa mezani ijadiliwe...kwa hiyo hapo hayupo kwenye makundiyo yote hayo labda kama unaushahidi kuwa alitoa rushwa ili wajumbe wapitishe hapo ni kesi nyingine...Na yule aliyetaka kuwauzia chama chake malori ya 10m kwa zaidi ya 400m unamuitaje, Fisadi au mfanya biashara, au mwana siasa?
Na yule aliyetaka kuwauzia chama chake malori ya 10m kwa zaidi ya 400m unamuitaje, Fisadi au mfanya biashara, au mwana siasa?
Kwanini usimshauri jamaa yako mfungue kesitafuta kitu kinaitwa EPOCA SOMA VIZURI PAMOJA NA MAELEZO MENGINE TOKA TCRA
KAMA HABIB AKIAMUA KWENDA MAHAMANI MAHAKAMA INAWEZA KUWAITA TIGO , TIGO INAWEZA KWENDA CHADEMA AU KWAKO WEWE KULETA USHAHIDI WA JINSI TAARIFA ZA HABIB ZILIVYOINGIA KWENYE MIKONO AMBAYO SIO NA KUTUMIKA KINYUMEKAMA HII KATIKA TUHUMA ZA RUSHWA JE AKISHINDA KESI YAKE UTAKUWA NA NINI CHA KUSEMA MZEE NEVER ?
Kinachojadiliwa hapa ni ushahidi wa rushwa wewe unataka tujadili Data protection act topic ambayo ni pana sana unaweza kuanzisha thread yake, kwenye mambo ya data protection mwenye data za watu kama huyo Tigo anaweza kushitakiwa vile vile kwa kutozitunza siri za wateja yaani kwa kushindwa au kutokuwa na technology ya kuzuia watu ku hack data za wateja kwa hiyo hapa anayeshikiwa si mtoa siri hata mtunza siri.tafuta kitu kinaitwa EPOCA SOMA VIZURI PAMOJA NA MAELEZO MENGINE TOKA TCRA
KAMA HABIB AKIAMUA KWENDA MAHAMANI MAHAKAMA INAWEZA KUWAITA TIGO , TIGO INAWEZA KWENDA CHADEMA AU KWAKO WEWE KULETA USHAHIDI WA JINSI TAARIFA ZA HABIB ZILIVYOINGIA KWENYE MIKONO AMBAYO SIO NA KUTUMIKA KINYUMEKAMA HII KATIKA TUHUMA ZA RUSHWA JE AKISHINDA KESI YAKE UTAKUWA NA NINI CHA KUSEMA MZEE NEVER ?