Tuhuma za rushwa BAVICHA zipelekwe TAKUKURU - Zitto

Hii taarifa kutolewa hadharani haikiuki haki za mteja? Habibu Machange hawezi kuwashtaki TIGO?
 
Mkuu naomba kueleweshwa hapa..Nini kilifanyika bondeni bar, na Shibuda alikuwa kiongozi wa mipango, je alikuwa anawakilisha chama au kikundi chao kichafu..

Ndiyo maana nikasema ushahidi mwengine utakuja baada ya kamati kuu kukaa, tunapeleka ushahidi huu kamati kuu then baada ya hapo tutauweka hapa, kama tulivyofanya awali kwa habibu mchange
 
Someni hii link:

Tanzania lag on privacy law « Tanzania Legal News

Privacy imekuwa guaranteed na Katiba ya Tanzania! Kifungu cha 16.-(1) Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi
kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na mawasiliano yake ya binafsi.

au kwa kiingereza: …Every person is entitled to respect and protection of his person, the privacy of his own person, his family and of his matrimonial life, and respect and protection of his residence and private communications…’
 
Habib Mchange awashtaki tiGO kwa lipi? Kwamba taarifa zake ziko nje? Kwa kufanya hivyo anathibitisha kuwa alituma hizo fedha kwa watu hao na hivyo atakuwa anathibisha tuhuma za rushwa dhidi yake. Ningemshauri Mchange, na wengine humu, kuwa taarifa za namna hii zinapotoka ni vizuri kushughulika na ukweli/uongo zaidi ya haki ya mteja. Nimesoma mahali pengine kuwa katika kesi hii upo pia ushahidi wa watu waliotumiwa fedha. Sasa kama ni hivyo, CDM wakishtakiwa, watakuja tu na ushahidi wa hao watu halafu wataomba mahakama iamuru tiGO waje na vielelezo kuthibitisha. Vielelezo hivyo vyaweza kuwa hivi tunavyovyiona humu na vitaletwa mahakamani kihalali tu.

Kwa hiyo kwa Mchange nadhani suala ni je alituma fedha kwa watu hao ama la, na sio taarifa hizi zimetolewaje.
 
Ndiyo maana nikasema ushahidi mwengine utakuja baada ya kamati kuu kukaa, tunapeleka ushahidi huu kamati kuu then baada ya hapo tutauweka hapa, kama tulivyofanya awali kwa habibu mchange
Mkuu bado hujanijibu nilicho kiuliza, nilichokielewa kwenye majibu yako ni hivi kama utaniambia kilichofanyika Bondeni bar utakuwa tayari umetoa ushahidi kabla ya kuupeleka kamati kuu...kama ndiyo tunasubiri
 
tafuta kitu kinaitwa EPOCA SOMA VIZURI PAMOJA NA MAELEZO MENGINE TOKA TCRA

KAMA HABIB AKIAMUA KWENDA MAHAMANI MAHAKAMA INAWEZA KUWAITA TIGO , TIGO INAWEZA KWENDA CHADEMA AU KWAKO WEWE KULETA USHAHIDI WA JINSI TAARIFA ZA HABIB ZILIVYOINGIA KWENYE MIKONO AMBAYO SIO NA KUTUMIKA KINYUMEKAMA HII KATIKA TUHUMA ZA RUSHWA JE AKISHINDA KESI YAKE UTAKUWA NA NINI CHA KUSEMA MZEE NEVER ?

Kwanza, ni process ndefu sana ambayo mara nyingi humfanya mlalamikaji achoke kutokana na technicalities zake, pili ikipita miezi mitatu hajalalamika imesoma kwake kwani hakuna details za kipindi hiki zitakazo onekana.
 
Inatia faraja kuona WIKILEAKs zimeanza kutufikia Tanzania......big up mtoa mada na tunaomba na walio CCM watupe taarifa kama hizi za wale jamaa wa RICHIMOND na meremeta
 
Hii taarifa kutolewa hadharani haikiuki haki za mteja? Habibu Machange hawezi kuwashtaki TIGO?
Kabla Mchange hajawashtaki Tigo ajiulize je habari hizi ni za kweli? kama ni za kweli je kutoa hizo pesa kwa wajumbe wa mkutano si rushwa? akishajibu maswali haya ndipo aende kuwashitaki Tigo ila ajiandae kukutana na Takukuru it is a two cutting edges sword ni hiari yake kuchagua upande upi wa makali ni nafuu kuushika.
 
Mkuu bado hujanijibu nilicho kiuliza, nilichokielewa kwenye majibu yako ni hivi kama utaniambia kilichofanyika Bondeni bar utakuwa tayari umetoa ushahidi kabla ya kuupeleka kamati kuu...kama ndiyo tunasubiri
Uko sahihi mkuu, subiri kwanza kamati kuu ipate huu ushahidi then nitarudi kwenu,
 
Nadhani natofautiana na mh, zitto, pccb ni chombo cha serikali hawa wachukuliwe hatu za kinidham ndani ya chama tu, kuwapeleka pccb tu kichafua chama, pccb wana yao waendele nayo
 
Kwa kusoma maoni ya waliochangia mjadala huu unaweza ukapata mwanga kidogo kuhusu wanaotoa au wanaotetea rushwa dhidi ya wanaopinga rushwa.
Maoni ya mtu yanadhihirisha upande aliko.
Tuchukue takwimu za maoni kama haya kuweza kupima urahisi au ugumu wa kupambana na rushwa au maovu mengine yanayofanana na hayo katika jamii.
 
Kumekuwa na threads nyingi hapa jamvini zikizungumzia wagombea wa BAVICHA walitoa rushwa kwa wajumbe mbalimbali kwa ajili ya kura. Kuna thread moja imeweka "evidence" ya transactions mbalimbali za TIGO zinazoonyesha viwango vya pesa vilivyotoka na kuingia kwenye simu ya Bwana Habibu Mchange.
Katika discussion zote hakuna mtu aliyegusia wajumbe waliopokea rushwa. Je kwa nini hawa wanasahaulika? Nyerere alisema mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni sawa! Mimi nadhani wote wanastahili adhabu moja. Haitakuwa haki kuwaadhibu vijana wagombea tu! Kama madai ya Zitto ya kutaka wagombea kupelekwa PCCB, nadhani ni haki na hawa Wajumbe watajwe na kupelekwa PCCB pia.
 
Someni hii link:

Tanzania lag on privacy law « Tanzania Legal News

Privacy imekuwa guaranteed na Katiba ya Tanzania! Kifungu cha 16.-(1) Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi
kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na mawasiliano yake ya binafsi.

au kwa kiingereza: …Every person is entitled to respect and protection of his person, the privacy of his own person, his family and of his matrimonial life, and respect and protection of his residence and private communications…'

Mara nyingine pamoja na malengo yake mazuri, RIGHT TO PRIVACY inatumika kama kichaka cha maovu na inazuia vyombo vya haki kupata taarifa njema kama hizo. BINAFSI NINAHESHIMU HAKI YA HIFADHI/PRIVACY LAKINI NACHUKIA UHUNI KAMA WA HABIB...!!!

MAMBO YA KUNUNUA UONGOZI WAACHIWE CCM BANAAAA...!!!!
 
Mara nyingine pamoja na malengo yake mazuri, RIGHT TO privacy inatumika kama kichaka cha maovu na inazuia vyombo vya haki kupata taarifa njema kama hizo. BINAFSI NINAHESHIMU HAKI YA HIFADHI/PRIVACY LAKINI NACHUKIA UHUNI KAMA WA HABIB...!!!

MAMBO YA KUNUNUA UONGOZI WAACHIWE CCM BANAAAA...!!!!

Habib ameharibiwa na mfumo wa chama cha magamba!
 
mkuu never:

umefanya jambo kubwa sana la kudhihirisha yakuwa JF kuna watu makini wanao jadili mambo ya msingi katika taifa hili ningelikuwa MOD ningekupandisha fasta kuwa JF premium member big up sana, ila nimemuona KITILA MKUMBO humu nayeye aseme lake kama mjumbe wa kamati kuu wa chama na akina mnyika, regia watuambia nawao maoni yao
 
Back
Top Bottom