Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Yes, unasem kweli kabisa na wanajifanya watu wakigoma, mara mtukura, mara sijui wapi kutegemea na lafudhi zao. Hlafu inaelekea vitambulisho kama vya kupiga kura ni rahisi kupata tanzaniaTanzania kuna watu kibao wanaishi bila vibali. Mimi kwetu Musoma, nina experience na hili.
Tena hata passport wengine hawana, mara nyingi mipakani wanavuka na bodaboda ( border to border ).