Tetesi: Tuhuma za Bi Sandra (Mama Diamond) kumnyanyasa binti wa Miaka 14 kutoka Congo

Simkubali Ma Dangote lakini Kwa hili sioni kosa lake. Mtoto alikiri kuchukua simu na katapeliwa kama Mzazi mama D angetumia busara yaishe. Mitandao inakuza Mambo.
 
Simkubali Ma Dangote lakini Kwa hili sioni kosa lake. Mtoto alikiri kuchukua simu na katapeliwa kama Mzazi mama D angetumia busara yaishe. Mitandao inakuza Mambo.
 
Sidhani Kama ni kweli aiseee.... familia na Jina kubwa hivyo ijiingize ki rahisi kwenye maswala ambayo yanaweza kuletea kashfa kirahisi tuu??... anawalipa mabaunsa na watu kibao wako kwenye payroll yao leo wakatafute housegirl cheap ili iweje, huu ni uongo per se!
Mbona mwarabu fighter walimnyanyasa, kumbuka kutoa ni moyo si utajiri.
 
Back
Top Bottom