abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Poleni na Majukum watanzania Leo nimeona nije na ili swala la Uyu Mama Diamond kujiona Mungu mtu kwa watoto wa watu
Hivi serikal yetu ikowap imtetee uyu mtoto Rais Mama Samia Naomba kama utapendezwa mtendee haki uyu mtoto alie taka kufanyiwa kitu kibaya na wanaume wa nne alie fanya kazi za Ndan miaka kibao Bure
Serikal huyu mama anatakiwa ku onywa
===========
Huko mitandaoni kuna tuhuma zinasambaa dhidi ya Bi Sandra, kunyanyasa binti aitwae Shakira, inasemekana huyo binti alichukuliwa na Mama yake Diamond kwa nia ya kusaidiwa sababu alikua hana pa kuishi.
Maelezo ya Shakira mwenyewe anasema alipochukuliwa alipatiwa kazi ya kusidia house girls huku akisubiri utaratibu wa kisheria/polisi ili aweze kupelekwa shule ama kuishi kihalali kwa Mama Diamond kama mfanyakazi, lakini aliishia kunyanyaswa na mwisho wa siku akaiba simu na kutoroka kuepuka manyanyaso.
Hata hivyo simu aliyoiba akaishia kutapeliwa mtaani. Chanzo cha stori hizi kutapakaa mitandaoni ni baada ya Kipindi cha ICU cha Kwisa kurusha hewani ambapo mashuhuda walio hojiwa wanasema Mama Chibu alituma mabaunsa kumdhuru mtoto. Tusubiri upande wa pili ujieleze ili tupate picha kamili.
Hivi serikal yetu ikowap imtetee uyu mtoto Rais Mama Samia Naomba kama utapendezwa mtendee haki uyu mtoto alie taka kufanyiwa kitu kibaya na wanaume wa nne alie fanya kazi za Ndan miaka kibao Bure
Serikal huyu mama anatakiwa ku onywa
===========
Huko mitandaoni kuna tuhuma zinasambaa dhidi ya Bi Sandra, kunyanyasa binti aitwae Shakira, inasemekana huyo binti alichukuliwa na Mama yake Diamond kwa nia ya kusaidiwa sababu alikua hana pa kuishi.
Maelezo ya Shakira mwenyewe anasema alipochukuliwa alipatiwa kazi ya kusidia house girls huku akisubiri utaratibu wa kisheria/polisi ili aweze kupelekwa shule ama kuishi kihalali kwa Mama Diamond kama mfanyakazi, lakini aliishia kunyanyaswa na mwisho wa siku akaiba simu na kutoroka kuepuka manyanyaso.
Hata hivyo simu aliyoiba akaishia kutapeliwa mtaani. Chanzo cha stori hizi kutapakaa mitandaoni ni baada ya Kipindi cha ICU cha Kwisa kurusha hewani ambapo mashuhuda walio hojiwa wanasema Mama Chibu alituma mabaunsa kumdhuru mtoto. Tusubiri upande wa pili ujieleze ili tupate picha kamili.