Mkuu tatizo ni mwenyekiti Mbowe.Chadema ni laana kwa Tanzania
Mkuu tatizo ni mwenyekiti Mbowe.
We must tell the truthMataga mbeba mikoba ya ndugai unahangaika na Mbowe kama boss wako.
Wengi wa mamanda wenzangu hawana uwezo wa kuchuja kipi ni kitu bora au sio bora.
Hawana uwezo wa kupambanua mambo kitaaluma, maana hata kama kiongozi wetu anafanya ubadhirifu na udikteta wanaona sawa tu.
Asilimia kubwa ya makamanda wenzangu ni shuleless ndio maana chama kinapelekwa hovyo hovyo tu.
Chadema ni laana kwa Tanzania
Hii mimba ya Mbowe na Cdm . Nendeni clinic , isijekuwatoa uhai . Pamoja na figisu , kununua wabunge na madiwani wake na kuweka mnaowataka , lakini bado hamjiamini ?!Mkuu tatizo ni mwenyekiti Mbowe.
Mbowe anawamiza sana mpaka ma DC wanapewa air time redioni kumuongelea.
Huna akili we matacle kaa kimyaMkuu hizi siasa za namna hii ziliondoka na mwendazake! Relax...kunywa mtori nyama ziko chini......
Nini wewe mpuuzi usie na uwezo wa kupambanua mambo kaa kimya.Hii mimba ya Mbowe na Cdm . Nendeni clinic , isijekuwatoa uhai . Pamoja na figisu , kununua wabunge na madiwani wake na kuweka mnaowataka , lakini bado hamjiamini ?!
Jibu lako linaonyesha aina ya makada walioko Lumumba sasa hivi. Mbona hasara !Nini wewe mpuuzi usie na uwezo wa kupambanua mambo kaa kimya.
Lumumba? Tumia akili we mpuuzi.Jibu lako linaonyesha aina ya makada walioko Lumumba sasa hivi. Mbona hasara !
Wewe jinsi ulivyomjinga nakaa kimya sikujibu.Mbowe anawaumiza sana mpaka ma DC wanapewa air time redioni kumuongelea.