kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 496
kwa haya mambo, acha kesho iwe siku ya mapumziko! Mbowe mwenyewe alishasema kupewa pesa sio tatizo, ila unapewa kwa ajili gani ndio shida!
kaka mtoa mada ni chizi,unatetea nini wakati mbowe amekiri kulamba mkwanja,acha kuwa kondome bana