Tuhuma dhidi ya Membe: Bashiru hajakurupuka, kuna ukweli

Tuhuma dhidi ya Membe: Bashiru hajakurupuka, kuna ukweli

Membe hafai kuwa kiongozi wa nchi wahindi na wachina na waarabu watamiliki nchi uyo anautaka urais kutimiza matamanio tu
 
Nichafuen mm niwe rais 2020

Mtapata bando bure

Maziwa bure ...

Nyama bure ...

Muziki bure ...

Wali maharage bure ...

Mtakula chips mayai kila siku uwanja wa shule ...

Ntatoa namba yangu ukiwa na shida ongea na mimi kabisa hata ukita kuja gheto kwangu ikulu kulonga ...

2020 TWENDE NA BABA SWALEHE
 
IMG-20181201-WA0030.jpg
 
Umaandika gazeti kubwa kupoteza muda bure kila mwenye AKILI TIMAMU ANAJUA KUNA WATU WATAJITOKEZA NDANI YA CCM 2020 kuwania nafasi ya kugombea nafasi ya uraisi kupitia CCM ulichoandika hakuna jipya ni kupoteza muda na kila mwanachama wa CCM anayo haki ya kufanya hivyo katiba CCM inaruhusu so John atulie hana uwezo wa kuzuia watu wasigombee.
 
Chochea kuni watu waendelee kutoka pangoni..
 
Hivi ndugu zangu Watanzania nafiria ni muda wa kuangalia damu mpya na 'at least' vijana hivi kuwapa nao nchi hawa kina Membe sijui nani ni sawa wazuri lkn muda pia unawatupa na wameisha hudumu sana kwenye ofisi za umma

Sioni haya majina yakihusishwa na 2020 au 2025

January, Zito,Nape, Mwigulu,Nyarandu,Mtaka, Bashiru na watakao jitokeza huko mbeleni wa kariba na umri huo wa kati

Kina Membe ndo wametufikisha hapa na huyo jiwe hana exposure yoyote na ni mtu ameingia madarakani akiwa na mtizamo wa sisi wote wapigaji nae ni 'smartest guy in the house' hapo tutafika kweli tuje na watu wapya na mitizamo mipya
Nyarandu huyu aliekua wazir wa twiga....au kna mwingine....
 
Ah Acha kutulisha matango pori bwana
Membe ni kada wa ccm, na katiba inasema uraisi mwisho ni miaka mitano then unaomba Tena.

Membe na mwingine yoyote Ana haki ya kujipanga au kujiandaa kwa kama anaitaji kugombea

Miaka yote iko hivyo na itaendelea Kuwa hivyo so Membe yuko on the right truck
On right time?
 
Kama kaweza teua Malaya wa kisiasa na kuwaacha wasugua bench atashindwa vipi kujiteua tena 2020.Amepewa mamlaka ya hata kuwafukuza uanachama wote waliotishio kwake.Katiba ya nchi na chama kazikanyaga kinamshinda kipi kukanyaga 2020
Umaandika gazeti kubwa kupoteza muda bure kila mwenye AKILI TIMAMU ANAJUA KUNA WATU WATAJITOKEZA NDANI YA CCM 2020 kuwania nafasi ya kugombea nafasi ya uraisi kupitia CCM ulichoandika hakuna jipya ni kupoteza muda na kila mwanachama wa CCM anayo haki ya kufanya hivyo katiba CCM inaruhusu so John atulie hana uwezo wa kuzuia watu wasigombee.
 
Ah Acha kutulisha matango pori bwana
Membe ni kada wa ccm, na katiba inasema uraisi mwisho ni miaka mitano then unaomba Tena.

Membe na mwingine yoyote Ana haki ya kujipanga au kujiandaa kwa kama anaitaji kugombea

Miaka yote iko hivyo na itaendelea Kuwa hivyo so Membe yuko on the right truck

Uwongo
Kwenye chama ana endelea JPM tu
 
Hivi ndugu zangu Watanzania nafiria ni muda wa kuangalia damu mpya na 'at least' vijana hivi kuwapa nao nchi hawa kina Membe sijui nani ni sawa wazuri lkn muda pia unawatupa na wameisha hudumu sana kwenye ofisi za umma

Sioni haya majina yakihusishwa na 2020 au 2025

January, Zito,Nape, Mwigulu,Nyarandu,Mtaka, Bashiru na watakao jitokeza huko mbeleni wa kariba na umri huo wa kati

Kina Membe ndo wametufikisha hapa na huyo jiwe hana exposure yoyote na ni mtu ameingia madarakani akiwa na mtizamo wa sisi wote wapigaji nae ni 'smartest guy in the house' hapo tutafika kweli tuje na watu wapya na mitizamo mipya
Acha mcharuko wewe JPM FOR LIFE WALAHI
 
Next year ndo mtaona mitifuano mikali, watu watagawana fito
 
Sasa hao kina January sijui Mwigulu ni wapya?

Wanaweza wakawa siyo wapya kwa dhana hiyo lakini kwa kariba na umri huo at least tungeanza hata kuwafikiria na kuwachuja na mfano Membe isingekuwa yaliyotokea labda leo ndo angekuwa Rais sasa naona imetosha na jua alikuwa karibu sana wa utawala uliopita either kwa mema au mabaya tuliyopitia

Hao kina January , Nape na wote wa kariba yao kwa uongozi na umri at least wanaweza jua mahitaji halisi ya kizazi hiki na kijacho na lengo sio wateuliwe ndo maana nimeorodhesha wengi tu na wa upinzani lkn tungeanza kuwamulika hao kuliko majina sijui Membe mara sijui nani na tunaona tulionae anavyotunyoosha kwa mitizamo yake ana ndoto labda nzuri kuhusu nchi yetu hii nzuri na inapotakiwa kuwepo lkn ona namna ya kutufikisha huko kwenye maziwa na asali tunavyoburuzwa
 
Nyarandu huyu aliekua wazir wa twiga....au kna mwingine....

Kwa kariba ya umri na exposure ana nafuu kidogo lkn kuanza kumfikiria na kummulika mtu sio ndo tumemchagua na ikifika huko tutazingatia ‘integrity’ya mtu husika
 
Back
Top Bottom