Muungano wa Tanganyika na CCM ni nguzo mojawapo kubwa inayosaidia kuendelea kudumisha utawala wa CCM na tunaoumia ni raia wa pande zote mbili.Suala la Tanganyika na Zanzibar ni tofauti, kwa sababu Tanganyika na Zanzibar zote ziliwahi kuwa nchi zenye mpaka viti UN kabla ya kuungana.
Sasa kugawana nchi kunakuhakikishiaje unawaepuka?Tutatua huko huko, ili mradi hawa watu tuwaepuke, tumejaribu kuomba baadhi ya mabo yarekebishwe ili tuwe kitu kimoja hawataki, tumeshinikiza wametuua
Suala la Tanganyika/Zanzibar ni tofauti na sitaki kuliweka kwenye mjadala huu.Muungano wa Tanganyika na CCM ni nguzo mojawapo kubwa inayosaidia kuendelea kudumisha utawala wa CCM na tunaoumia ni raia wa pande zote mbili.
Tujitahidi Manyara hiwe upande wetuMnachagua,katiba yetu sisi itatubeba tutaapata watu wengi, kwakuwa mtakuwa huru, sasa hivi tupo gerezani kisiasa, tunafanywa wajinga na watu wachache
Watajiengua tu CCM na wananchi ni kama maji na mafuta, nasema wananchibkwakuwa sidhani kama CCM ni wananchi, wana tabaka lao wamejijengea, not like usSasa kugawana nchi kunakuhakikishiaje unawaepuka?
Watu wenyewe wengi mpaka rangi sawa na wewe. Na wengi wanajua kuficha makucha yao huwajui mpaka wapate power.
Sasa unapogawana nchi, ukifikiri kugawana nchi ndiyo utatuzi, unajuaje huko kwenye nchi mpya hawatapenya?
Hilo popoma haliwezi kuwa RaisNa hakika upande wowote tutakao elekea hakika tutawazidi CCM kwenye Kila sphere of life...
Watakuja kuomba misaada ya hali na Mali..
Tutajiita TANGANYIKA FREE STATE....wenyewe waendelee na jina lao...na mambo yao.
NB. Siku Paul makonda akiwa RAISI WA TANZANIA NDIO SIKU IYO NTABEBA VYANGU NA KUHAMA HII NCHII HATUWEZI ONGOZWA NA KILA MTU.
Kama Israel tuMbaya zaidi na ma CCM yanakazia humohumo, ila ka nchi ketu kapya tungekuja na kitu tofauti kabisa, Mazombi tunayachekecha yaende huko upande wa pili, huku kwetu tunabakiza cream tu
Na ushuru wa kutumia bandari itakuwa ni mauaji labda mtumie ya MsumbijiMzee unataka unibakize kwenye mazombie ya CCM
Kipande chetu tunachukua bandari ya mtwara tunaipiga msasa inakuwa kama beira ya msumbiji, kwenye kugawana hawawezi kuchukua bandari zote, wao si wameyza kwa waarabu?Na ushuru wa kutumia bandari itakuwa ni mauaji labda mtumie ya Msumbiji
Sheria za kimataifa lazima ziheshimiweKipande chetu tunachukua bandari ya mtwara tunaipiga msasa inakuwa kama beira ya msumbiji, kwenye kugawana hawawezi kuchukua bandari zote, wao si wameyza kwa waarabu?
HakikaGenerally in either way Tanganyika needs freedom. Ni bora tummegee Kikwete dar, pwani, tanga na kusini aitawale nasi tubaki na the rest tuone ulafi wake utamfikisha wapi huyu shetani anaejiona ana akili kuliko watanganyika wote. Akileta tena tamaa bora tupigane vita ambavyo havijawahi shuhudiwa. Uyu mzee ndo chanzo cha matatizo yote kwenye hii nchi.
Na ukishajimegua ukawa na nchi nyingine hiyo nchi nyingine haitawezekana kuwa na matabaka yatakayorudia tatizo hivihivi?Watajiengua tu CCM na wananchi ni kama maji na mafuta, nasema wananchibkwakuwa sidhani kama CCM ni wananchi, wana tabaka lao wamejijengea, not like us
Halitajirudia kwakuwa kule kutakuwa na katiba mpya ambayo itakuwa ni tofauti na hii ya huku CCM, shida kubwa inayosababisha yote haya ni katiba inayowapa madaraka viongozi bila ukomo na kutowajibishwa, kutokuwa na hakika ya kuona kesho yenye matumani, amani ya kweli bila dhuluma ya utekaji,ufisadi, ukosefu wa ajira kwa kiwango cha juu, kupanda kwa gharama za maisha , tume huru ya uchaguzi n.kNa ukishajimegua ukawa na nchi nyingine hiyo nchi nyingine haitawezekana kuwa na matabaka yatakayorudia tatizo hivihivi?
Utazuiaje?
Ukishindwa kuzuia, utagawa nchi tena uwatenge hao watu?
Katiba haimalizi matatizo ya utamaduni, huelewi wapi?Halitajirudia kwakuwa kule kutakuwa na katiba mpya ambayo itakuwa ni tofauti na hii ya huku CCM, shida kubwa inayosababisha yote haya ni katiba inayowapa madaraka viongozi bila ukomo na kutowajibishwa, kutokuwa na hakika ya kuona kesho yenye matumani, amani ya kweli bila dhuluma ya utekaji,ufisadi, ukosefu wa ajira kwa kiwango cha juu, kupanda kwa gharama za maisha , tume huru ya uchaguzi n.k
We nae kama wale wale CCM , itawezekana tu kama kuna baadhi ya nchi iliwezekana kwanini sisi tushindwe? Tunakoelekea tutagawana tu hii nchiHabari nzima ya kuigawa nchi pasu pasu ni fantasy ya kuchangamsha baraza tu isiyo na mantiki ya kifalsafa wala namna ya kuitekeleza kiuhalisia.
Fight me on this.
Hujaweka mpango, hujaeleza itawezekana vipi, hujaweka kifungu cha katiba cha uongozi bila kikomo.We nae kama wale wale CCM , itawezekana tu kama kuna baadhi ya nchi iliwezekana kwanini sisi tushindwe? Tunakoelekea tutagawana tu hii nchi