The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Ndugu wanabodi naomba niwaulize swali la mtazamo tu. Na hii ni kutokana na waswahili wasemao dalili ya mvua ni mawingu, kwamba kutokana na maamuzi ya vikao vya ccm leo ikiwa vitaamua mbunge wa kawe avuliwa ubunge wake na kutokana pia na historia ya kisiasa ya jimbo la kawe unadhani ni chama gani kina nafasi nzuri ya kunyakua jimbo hilo!?
Kwa upande mwingine unadhani ni nani ananafasi nzuri ya kunyakua hicho kiti!?
1 Gwajima mwenyewe abadili chama aende chadema
2 Halima mdee aipigie magoti chadema au aende act.
3 Furaha ccm
4 Pascal mayala ajaribu bahati nyingine ila atafute chama.
Nini maoni YAKO!?
Kwa upande mwingine unadhani ni nani ananafasi nzuri ya kunyakua hicho kiti!?
1 Gwajima mwenyewe abadili chama aende chadema
2 Halima mdee aipigie magoti chadema au aende act.
3 Furaha ccm
4 Pascal mayala ajaribu bahati nyingine ila atafute chama.
Nini maoni YAKO!?