Napitisha mzigou MambasaNyie ndo mmekomeshwa na uchumi unadorora
Website ni kuanzia 320000, inaweza panda kulingana na mahitaji ya mteja. Hiyo ni pamoja na gharama za hosting na Domain.Ni mtaalamu wa IT, ni software developer, kama unahitaji chochote kama, Website, Domain, HR and School software nicheki, pia nafanya domain hosting kwa gharama nafuu kabisa nicheki 0687535650
Kanisa Gani Kiongozi Nataka kesho nije kusali kwako... Serious nakuja kama ni kweli Naomba uni pm unipe ukaribisho kesho ni visit Kwa ajili ya huduma.. Lisiwe tu lile LA viongozi wapiga tungi Hilo sitaliwezamchungaji kanisa langu lipo kibangu
Mkuu na je blog nzuri ya kibiashara inaanzia shiling ngapi na VIPI KUHUSU social network app na pia forum bei Gani Kuna jamaa alikuwa a Nauliza.. Nitajie bei then AKIWA tayari nikutafute wewe kupitia pm yakoWebsite ni kuanzia 320000, inaweza panda kulingana na mahitaji ya mteja. Hiyo ni pamoja na gharama za hosting na Domain.
Social networks na Forum ni kuanzia 390000+doman and Hosting.Tukikubaliana baada ya siku 3 kila kitu kinakuwa hewaniMkuu na je blog nzuri ya kibiashara inaanzia shiling ngapi na VIPI KUHUSU social network app na pia forum bei Gani Kuna jamaa alikuwa a Nauliza.. Nitajie bei then AKIWA tayari nikutafute wewe kupitia pm yako
mimi ni mpiga dili chamaniWengi wamejiajiri wengine wameajiriwa wengine wako busy na biashara zao. Career ni nyingi. Baadhi hawana kabisa kazi.
Uzi huu special kufahamiana zaid Ila Kwa ufupi.. Andika kazi unayofanya
Tukianza na mimi mwenyewe bwana AFYA WA wilaya FULANI hapa nchini
Yale ya matezi?Kutumbua majipu!