mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,533
Kazi yangu kubikiri
Kazi yangu kubikiri
Nataka Gari aina ya trial nitapata? Mwakani mwezi kama huu Lakini mambo yakijipaKama kawaida!!
Karibuni yard mchague magari!
Subaru legacy b4 ya 2008 ni bei gani?Kama kawaida!!
Karibuni yard mchague magari!
Nimeota Sasa IV tutakuwaga hatufi tunateseka wee mpk kiama kifikeKutasfusiri ndoto
Karibu mkuuNataka Gari aina ya trial nitapata? Mwakani mwezi kama huu Lakini mambo yakijipa
Nitafutie mteja Nina TECNO 8H tablet bei ni shiling 270000Natangaza napromoti nauza chochote popote pale mikononi mwako.
Kutwa kushinda FacebookSina kazi
Nyie ndo mmekomeshwa na uchumi unadororaMimi ni mfanyabiashara mkubwa sana hapa nchini, nisipo-import nchi inasimama!!!
Showroom yako iko maeneo GaniKaribu mkuu
Sinza-kwa kakobeShowroom yako iko maeneo Gani
Maana yake ni kwamba hutakufa kiroho, ndo Maana watu wanateseka kiroho baada ya kufa kimwili.Nimeota Sasa IV tutakuwaga hatufi tunateseka wee mpk kiama kifike
DuuuuuhMimi ni mfanyabiashara mkubwa sana hapa nchini, nisipo-import nchi inasimama!!!
Kazi Gani amekuajiriMimi nimeajiriwa na bwana yule,mzee wa kutumbua!
Kutumbua majipu!Kazi Gani amekuajiri