Zimbabwe tayari wapinzani wanadai kuibiwa uchaguzi.
Gabon uchaguzi wao ni leo:
"Huko kwenye mtandao wa internet, TCRA ya huko tayari imeshafanya yake."
Zaidi mno Serikali ya huko imepiga marufuku uwepo wa waangalizi na wanabari wa kimataifa.
1. Twendeni mahakamani,
2. Kampeni zetu ziwe na mwelekeo thabiti - uchaguzi wa haki,
3. Tuunganishe nguvu na wengine wengi, letu kuwa moja:
Ikapate kueleweka waziwazi sasa, kuwa:
"Hakuna katiba mpya, hakuna uchaguzi mkuu (2024 wala 2025)."
Chaguzi za wizi za nini?
_________
Internet cut in Gabon on election day - NetBlocks
Gabon uchaguzi wao ni leo:
"Huko kwenye mtandao wa internet, TCRA ya huko tayari imeshafanya yake."
Zaidi mno Serikali ya huko imepiga marufuku uwepo wa waangalizi na wanabari wa kimataifa.
1. Twendeni mahakamani,
2. Kampeni zetu ziwe na mwelekeo thabiti - uchaguzi wa haki,
3. Tuunganishe nguvu na wengine wengi, letu kuwa moja:
Ikapate kueleweka waziwazi sasa, kuwa:
"Hakuna katiba mpya, hakuna uchaguzi mkuu (2024 wala 2025)."
Chaguzi za wizi za nini?
_________
Internet cut in Gabon on election day - NetBlocks