excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
Sura mbaya mpaka ukiangalia mboga inachacha..twende twende
miguu imekomaa mpaka ukikanyaga chini unasabisha tetemeko la ardhi...
twende...
Sura mbaya mpaka ukiangalia mboga inachacha..twende twende
miguu imekomaa mpaka ukianyaga chini unasabisha tetemeko la ardhi...
twende...
enheee...!Khaa! Mpk unitangazee?? Ndio maana mchafu hadi ukioga mtoni samaki wanatoka kupata hewa
Kiuno kmekusmama kama mkate wa juz kati
Macho kama golori.....
endelea
Una damu tamu mpaka mbu huja na vitafunwa kabisaaa
Sikio kubwa ka injini ya troli!.
kah! Kama mimi nalia aisee,haiwezekani
Vidole kama karoti
Uso umejaa Chunusi kama fenesi
Hahahahahaha nimeipenda hiyo mkuu......
Miguu kama trekta....twende
hahahaha .... kichwa ka bakuli la ftari........
twende yani wewe ni mrefu mpaka ukinywa maziwa ya fresh yakifika tumboni yanakuwa ya mgando twende
Twende twende kichwa kama Bed ford!
I don't belong here ... utoto mwingi
umekomaa macho mpaka ukiiangalia simu inajiwasha yenyewe na kuandika '' i am ready for use''!
twende ...
umekomaa macho mpaka ukiiangalia simu inajiwasha yenyewe na kuandika '' i am ready for use''!
twende ...