Tuchambane hapa

Tuchambane hapa

umekomaa macho mpaka ukiiangalia simu inajiwasha yenyewe na kuandika '' i am ready for use''!

twende ...

nawewe umekomaa hadi ukijiangalia kwenye kioo kinaona aibu
 
Haaaaah
Kwenu mnadhiki hadi mkipika wali mtabandika tangazo tumehamaaaa

Pua ka kona ya sambusa
 
Uchoyo umewajaa mpaka mkiona mchoro Wa matair ya gar mnafcha kwa kufunka na ungo..
 
Umekomaa mpaka ukifunga macho yanalia "koboo"

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
twende kwenu ni wa chafu hadi mende wa kwenu wanavaa mabut du
 
wapi wewe mweusi mpaka ukisimama kwenye giza watu husema ni shortcut wewe ni noma
 
wapi ww mfupi mpaka unaomba upandishwe kwenye kasha la kiberiti ukae
 
halooo! kuitoa ccm madarakani ni ngumu km kumtahiri fisi
wacha uwongo sema kuitoa chukua chako mapema ni sawa na kumkanyaga sizimizi yaini chama cha zamani aka wakwamisha katiba pumbafuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom