Tuchambane hapa

Tuchambane hapa

ndo maana umekomaa mpaka ukifumba macho jicho linalia'koboo"
 
~Tv yenu kubwa had tom n jery wakikimbizana wanapumzka
~demu wako mnene had ukimpeleka movie anakaa next to everybody
~umekonda had ukisimama ukutani watu wanadhan ni ufa
~una mdomo mrefu had ukipiag chafya unajing'ata kifua
~mshamba had siku ya kwanza kununua ballgum ulisema hutaki ya kijani haijaiva
~mshamba had uligongwa na gari lililopaki
~mjinga hadi ulifeli blood test
.....haya kila mtu ajichagulie lake......
 
Simu ya kishamba hadi lori likiwashwa inaandika "new device found, enter pairing password"
 
Sura nzito kama tope la uyole.
Komwe kama dafu la kimbiji(Source, warumi)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
~Tv yenu kubwa had tom n jery wakikimbizana wanapumzka
~demu wako mnene had ukimpeleka movie anakaa next to everybody
~umekonda had ukisimama ukutani watu wanadhan ni ufa
~una mdomo mrefu had ukipiag chafya unajing'ata kifua
~mshamba had siku ya kwanza kununua ballgum ulisema hutaki ya kijani haijaiva
~mshamba had uligongwa na gari lililopaki
~mjinga hadi ulifeli blood test
.....haya kila mtu ajichagulie lake......

Yeuuyuwi! umeua..kugongwa na gari lililopaki? No way hahahaa
Kwenu mnamajungu hadi Mungu nae mnampigaga majungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom