Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Teh Teh!. Jino refu ka njiti ya chelewa.
Una damu tamu mpaka mbu huja na vitafunwa kabisaaa
Teh Teh!. Jino refu ka njiti ya chelewa.
unapenda raha hadi ukipanda kwenye lift unasinzia
Teh Teh Teh!. Nyusi ndefu ka mustache wa john komba.
mwe....
hahahaha kaka ako ni HB ka Stephen wasirra
Twende twende una roho mbaya mpaka shetani anakuomba ushauri
Twende twende una roho mbaya mpaka shetani anakuomba ushauri
Teh Teh Teh!. Ulinunuliwa chai ya maziwa ukanywa ukaungua na kuanza kulia mother akakwambia, tema ukasema niteme utamu!, meza, ukasema nimeze moto!, kunywa maji, ukasema niharibu radha!. Hiii we noumaa!.
Una sura ngumu kama futari ya magimbi...
Duuuh! Kumbe unataka eeeh! TwendeHahahahaaaa.......umepinda hadi pichu unavaa mlegezo