Urefu kama una mpango wa kutonoa mbngu
eheee... kumbe ndo maana.... we ni mwembamba hadi ukipanda bus watu wanajua jini kaingia..
kan'tangaze wewe ni mbea hadi facebook wamekukimbiza ukaja jf..
Duh....nawewe ni mvivu hadi nyau wanakushangaa umewazidi
Sauti kama vuvuzela
Mdomo kama nyama ya nyongeza..
mdomo kama bakuli la mamantilie