101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,120
Habari wakubwa wenzangu
Kama kichwa Cha habari hapo juu ,nachukua nafasi hi kuwaambia wanajukwa na kushiriakiana kupata jina jina la pesa yetu
SHILLING
Awali hi jina lilitwa na waingereza kwa makoloni yake ya Africa mashariki yaani Kenya ,Uganda na Tanzania hata hivyo baada ya Uhuru makoloni haya yameshindwa kabisaa kubadilisha jina la pesa zao
CHA KUFANYA
Sisi watanzania kuendelea kuiita senti Mia moja Ni shilling moja Ni sawa kuendelea kumtukuza mzungu,tujivue ujinga huu na tuishinikiza serikali na benki kuu kuwa zama zimebadilika tunahitaji jina lingine pesa yetu lenye asili na sisi wabantu na si hii shillings tunayoiita leo
Kuendelea kutumia jina shilling Ni utumwa Tena utumwa usiojificha
NAOMBA KUWASILISHA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa Cha habari hapo juu ,nachukua nafasi hi kuwaambia wanajukwa na kushiriakiana kupata jina jina la pesa yetu
SHILLING
Awali hi jina lilitwa na waingereza kwa makoloni yake ya Africa mashariki yaani Kenya ,Uganda na Tanzania hata hivyo baada ya Uhuru makoloni haya yameshindwa kabisaa kubadilisha jina la pesa zao
CHA KUFANYA
Sisi watanzania kuendelea kuiita senti Mia moja Ni shilling moja Ni sawa kuendelea kumtukuza mzungu,tujivue ujinga huu na tuishinikiza serikali na benki kuu kuwa zama zimebadilika tunahitaji jina lingine pesa yetu lenye asili na sisi wabantu na si hii shillings tunayoiita leo
Kuendelea kutumia jina shilling Ni utumwa Tena utumwa usiojificha
NAOMBA KUWASILISHA
Sent using Jamii Forums mobile app