Tuanue "tanga".. Mwandambo ndio basi tena

Tuanue "tanga".. Mwandambo ndio basi tena

Tatizo kubwa la asilimia kubwa ya wabongo kujifanya wao tu ndio wana maono ya kuhukumu kwa kuona mtu fulani kapotea au kaharibikiwa
Mtu hakujui, hana uhusiano wa kindugu au urafiki na wewe unakaza shingo eti huyo kaharibikiwa muone huyo
Upumbavu mtupu
Yeye kaamua content creator kwenye mitandao ya kijamii, haijalishi anachofanya yeye kikupenedeze wewe
Hatembei uchi na kwanza anaonekana kaulamba hasa, kwa hela zake, kaja Dar kwa hela zake amabazo wewe kilaza unavyochungulia maudhui yake unamlipa halafu unabwabwaja eti huyu mwehu wakati wewe kula yako yenyewe ni mgogoro
Acheni upumbavu
 
Tatizo kubwa la asilimia kubwa ya wabongo kujifanya wao tu ndio wana maono ya kuhukumu kwa kuona mtu fulani kapotea au kaharibikiwa
Mtu hakujui, hana uhusiano wa kindugu au urafiki na wewe unakaza shingo eti huyo kaharibikiwa muone huyo
Upumbavu mtupu
Yeye kaamua content creator kwenye mitandao ya kijamii, haijalishi anachofanya yeye kikupenedeze wewe
Hatembei uchi na kwanza anaonekana kaulamba hasa, kwa hela zake, kaja Dar kwa hela zake amabazo wewe kilaza unavyochungulia maudhui yake unamlipa halafu unabwabwaja eti huyu mwehu wakati wewe kula yako yenyewe ni mgogoro
Acheni upumbavu
sawa bwana maceboh
 
Mwaisa ambaye amekwama mapema. Usanii kitu kibaya sana.Uongo kitu kibaya sana..........kuwa mtu fake ndio kabisaaaa
 
Huyo yupo kwenye system tayar account imejaaa na inazid kujaa
 
On serious note huyu mzee anaumwa


View: https://vm.tiktok.com/ZSXpeyqoo/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok

Kuna uzi Taikon Mtibeli alishasema kwamba jamaa TAYARI.

Ila Genge la waFEE-LER-GEE wa Mafwele ni hatari sana ,wamemtatua Rinda kisha kumrekodi clips ,kwahiyo masharti aliyopewa kwamba akirudia kukosoa serikali wanaziachia ,inabidi tu ajifanye fyatu tu.
 
Hivi kuna nyama tamu kuizidi kitimoto rosti ya kwa masistaa hapa Dodoma St Gema?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom