Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 8,268
- 14,505
Dah kumbe na nyie wamoravian mnatumika..? Mbona njaa inawashushia heshima yenu hivyo..? Kumbe siyo bure askofu Mwamakula aliwakacha baada yakuona nyie ni watumishi wa tumboni..
Haya sasa huu wimbo wa "cheo ni dhamana" unashida gani..?😀😀 mnawapiga madogo mikwara mbuzi ili kumfurahisha nani..?
Namkumbuka sana kaka yangu Fred Mwamakula alikuwa mtunzi mzuri sana sijui kama dogo nsaji anafuata nyayo za bro wake
sikilizeni hapa
Check out UNLIMITED GLORY's video! #TikTok
View: https://vm.tiktok.com/ZSCT27FLj/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
Haya sasa huu wimbo wa "cheo ni dhamana" unashida gani..?😀😀 mnawapiga madogo mikwara mbuzi ili kumfurahisha nani..?
Namkumbuka sana kaka yangu Fred Mwamakula alikuwa mtunzi mzuri sana sijui kama dogo nsaji anafuata nyayo za bro wake
sikilizeni hapa
Check out UNLIMITED GLORY's video! #TikTok
View: https://vm.tiktok.com/ZSCT27FLj/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok