Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 3,185
- 12,332
Tuwe wakweli jamani, mie binafsi sikumbuki kama nilishakutana na bonge mwenye roho mbaya au chuki na visirani visivyoeleweka.
Hata kwa wanawake, mabonge hawanaga baya (Mungu awatunze sana)
Sasa vimbaumbau, yaani iwe kazini au mashuleni, wale waalimu au viranja au maboss wembamba ni hatari. Wana viroho visivyoeleweka.
Huu ni utafiti binafsi.
Hata kwa wanawake, mabonge hawanaga baya (Mungu awatunze sana)
Sasa vimbaumbau, yaani iwe kazini au mashuleni, wale waalimu au viranja au maboss wembamba ni hatari. Wana viroho visivyoeleweka.
Huu ni utafiti binafsi.