ububudu
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 266
- 414
Hata usome John Hopkins au Havard Kama huna watu wewe ni kiazi tu. Ngoja uhitimu utakuja kutulilia sisi maafisa ustawi tuliosomea mwalimu nyerere memorial , ukiomba angalau tukupe kazi ya kufundisha watoto wetu tuition ya PCM au PCB.Kama ulikuwa unatamba mtaani umesoma chuo na hukusoma Kati ya vyuo hizi kwenye list jua ulikuwa unapoteza mda wako
Yaani Elimu yako ni uselessView attachment 1881250
Suala la muda tu usije uchukia mchezo, chukia wachezaji.