Hata hiki kidubwasha tunaagiza China!

DON YRN

JF-Expert Member
Jan 14, 2019
474
999
20240122_223806.jpg


Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
 
View attachment 2879915Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!
Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?
Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisaa.
Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?.
Nchi ya ajabu sana hii...
Ni dhahiri kinachofundishwa chuoni, hakiakisi mahitaji ya jamii yetu. Elimu yetu ni muflisi!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2879915Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!
Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?
Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisaa.
Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?.
Nchi ya ajabu sana hii...
Bora mie ninaefuga kuku wa kienyeji.
 
View attachment 2879915Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!
Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?
Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisaa.
Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?.
Nchi ya ajabu sana hii...
Weka hapa suluhisho ili wazalendo wajue namna ya kukabiliana na hiyo inshu si kulalamika tu.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2879915Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!
Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?
Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisaa.
Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?.
Nchi ya ajabu sana hii...
Hata kunya tu mtanzania hanyi inavyopaswa. Sisi ni watu wa ajabu sana.

Mbrrr mbrrrr mbrr kammon nyau
 
Haya wametoa Africa wakajiongeza wakaleta vitu vizuri zaidi, sasa sie waafrica tumetoa nini kwao au kitu gani kutoka hapa kwetu Africa angalau tumeweza kukidevelop zaidi ya uchawa na uchawi.
Kwani wewe kwa maswali yako sio Chawa na Mchawi kweli? au

Kama wewe umeweza kupata taarifa na kuona, kusikia, kusoma, kuhusu Michango ya Maendeleo kutoka katika Mabara mengine, umeshindwaje kupata Taarifa za Michango ya Waafrika Duniani? Maana yake ni nini?

Kwamba Umepuuza hizo taarifa au umejiondoa ufahamu.

Huo ndio Uchawi-hadaa
Huo ndio Uchawa-Kushobokea wengine zaidi ya watu wako.

Unayo hoja
 
Unatakiwa kwanza uwe na chuma. Ukiwa huna chuma hata sindano utaagiza, ukiwa na chuma utaweza kuzalisha karibu kila kitu. Ni jukumu la serikali kuhakikisha nchi inazalisha chuma cha kutosha na kwa bei rahisi. Kama serikali bado haijaona umuhimu wa kuwa na chuma tutasubiri sana na kuendelea kulaumu wasio husika.
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
Missy Gf Joannah Ms eyes @🤣🤣🤣
 
Unatakiwa kwanza uwe na chuma. Ukiwa huna chuma hata sindano utaagiza, ukiwa na chuma utaweza kuzalisha karibu kila kitu. Ni jukumu la serikali kuhakikisha nchi inazalisha chuma cha kutosha na kwa bei rahisi. Kama serikali bado haijaona umuhimu wa kuwa na chuma tutasubiri sana na kuendelea kulaumu wasio husika.
Chuma sio tatizo,
Vyuma vya skrepa vimejaa kibao wahindi wanayeyusha wanatengenezea nondo.

Huko njombe chuma inachimbwa ila kwenye nchi lazima kashapewa mgeni achukue anavyotaka.
 
Back
Top Bottom