mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Na uto watafika wapi? Tuanzie hapo kwanza!Wachezaji wengi wa Simba umri ni mkubwa, sio vijana tena hivyo hawawezi kucheza kwa kasi ile ile mechi zote 34 za msimu mzima.
Zipo mechi inabidi watunze nguvu zao wakicheza mpira wa kasi ndogo. Kama Simba inataka msimu ujao ligi ya mabingwa afrika wavuke robo fainali basi kikosi cha kwanza kiwe na wachezaji kama watano au sita wenye damu changa.