Read Between The Lines: Yanga SC Wanaitwa Kijanja Mezani na Azam FC

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Nimeiona barua ya Azam FC kwa vyombo vya habari.

Kiufupi barua imekaa ki-unproffesional kinoma yaani. Kwanza kabisa kama klabu imepokea offer kutoka vilabu viwili tofauti kwanini Klabu ingoje vilabu vingine vije ku-table offer zao? Huu ni kama mchezo fulani hivi wa kitoto ambao Azam FC wanaucheza baada ya kuona mazungumzo yao ya siri na mchezaji hayakuweza kuzaa matunda.

Je ni kusema kwamba offer za Simba na Al hilal hazijawashawishi Azam FC mpaka waone inafaa kuwangoja wengine (ambako mchezaji husika anapendelea kusajiliwa?)?.

Inafikirisha sana.

Ni sheria za Kiuchumi ambazo Azam FC wanajaribu kucheza nao, Tengeneza DEMAND ili upate fursa ya kubagain price.

Kwa mchezo ulipofikia hivi sasa hii kanuni ya kiuchumi haitowasaidia Azam FC ikiwa mchezaji amekwisha onyesha malavi davi na upande anaopanga kufanya nao kazi.

Hainiingi akilini kuona Dube ambaye alisema anataka kuchezea timu yenye malengo makubwa akachagua kwenda Al Hilal ya sudan ambapo hakuna ligi na timu yenyewe inazurura zurura. Sidhani kama Simba ndio pamekuwa pahala pa DUbe kutamani kwenda ukizingatia perfomance ya Yanga SC hivi sasa.

Nawashauri Azam CUT THE LOSSES. Anzeni upya.

GIpdkH0X0AAzNZ3.jpeg
 
Nimeiona barua ya Azam FC kwa vyombo vya habari.

Kiufupi barua imekaa ki-unproffesional kinoma yaani. Kwanza kabisa kama klabu imepokea offer kutoka vilabu viwili tofauti kwanini Klabu ingoje vilabu vingine vije ku-table offer zao?...
Rudia tena kuisoma hiyo taarifa Mkuu, hiyo imekaa kwa mtindo wa kama kumkomoa Dube alazimishwe kwenda asikopataka.

Hapo kwa timu hizo mbili chaguo lake ni Simba tu, kwa sababu Dube hawezi kuwa tayari kwenda kucheza vitani hata iweje.

Na kwa kuwa Yusuph Bakhressa ni mwanachama wa Simba, hiyo ofa anaitoa mwenyewe tu, ni kama Dube anaenda bure Simba.

Hata Yanga wakipeleka ofa, utasikia Simba wamepanda dau. Mwisho wa siku akacheze Simba na siyo Yanga walioanzisha hii 'sinema'.

Ila, yote kwa yote muda utasema kila kitu. Tujipe muda, ila kwa sasa picha ndiyo hiyo.

Ova
 
Rudia tena kuisoma hiyo taarifa Mkuu, hiyo imekaa kwa mtindo wa kama kumkomoa Dube alazimishwe kwenda asikopataka...
Ni vigumu sana kukomoa mtu ambaye tayari yuko READY kukaa nje ya msimu ili akapate kucheza anapo pataka.

Hapa tunazungumzia kuhusu mchezaji wa kimataifa sio hawa wachezaji wetu wanao shinda Tandale kwa mtogole.

Unaikumbuka ishu ya RAPHINA na Barcelona? Timu ziliweka mpunga mrefu kwenda Leeds lakini Leeds waliamua kuchukua pesa ya Nou Camp kwasababu mchezaji alikuwa na ndoto ya kucheza kule na sio pengine.

Ni vigumu sana kumlazimisha mchezaji anaye jitambua kusaini ktk klabu ambaye yeye haipendi.
 
Kwani nyie utopolo dube atawasaidia Nini mnamtaka wa kazi gani hamuoni wachezaji wengine Akina mangula
 
Rudia tena kuisoma hiyo taarifa Mkuu, hiyo imekaa kwa mtindo wa kama kumkomoa Dube alazimishwe kwenda asikopataka.

Hapo kwa timu hizo mbili chaguo lake ni Simba tu, kwa sababu Dube hawezi kuwa tayari kwenda kucheza vitani hata iweje.

Na kwa kuwa Yusuph Bakhressa ni mwanachama wa Simba, hiyo ofa anaitoa mwenyewe tu, ni kama Dube anaenda bure Simba.

Hata Yanga wakipeleka ofa, utasikia Simba wamepanda dau. Mwisho wa siku akacheze Simba na siyo Yanga walioanzisha hii 'sinema'.

Ila, yote kwa yote muda utasema kila kitu. Tujipe muda, ila kwa sasa picha ndiyo hiyo.

Ova
Ndio maana Dube anaforce kuwa Free Agent
 
Ni vigumu sana kukomoa mtu ambaye tayari yuko READY kukaa nje ya msimu ili akapate kucheza anapo pataka.

Hapa tunazungumzia kuhusu mchezaji wa kimataifa sio hawa wachezaji wetu wanao shinda Tandale kwa mtogole.

Unaikumbuka ishu ya RAPHINA na Barcelona? Timu ziliweka mpunga mrefu kwenda Leeds lakini Leeds waliamua kuchukua pesa ya Nou Camp kwasababu mchezaji alikuwa na ndoto ya kucheza kule na sio pengine.

Ni vigumu sana kumlazimisha mchezaji anaye jitambua kusaini ktk klabu ambaye yeye haipendi.
usisahau kuna sheria za FIFA,
amekataa kuchezea Azam, watakachokifanya Azam ni kumuuza eithet Hilal au Simba (vinginevyo Yanga walete ofa nzuri kuzidi hao wawili),....

Dube hawezi lazimisha kwenda Yanga wakati ana mkataba na Azam, labda avunje mkataba na Azam ndio aende anakotaka!

hawezi force kwenda Yanga ikiwa Yanga hajatuma ofa Azam,
 
usisahau kuna sheria za FIFA,
amekataa kuchezea Azam, watakachokifanya Azam ni kumuuza eithet Hilal au Simba (vinginevyo Yanga walete ofa nzuri kuzidi hao wawili),....

Dube hawezi lazimisha kwenda Yanga wakati ana mkataba na Azam, labda avunje mkataba na Azam ndio aende anakotaka!

hawezi force kwenda Yanga ikiwa Yanga hajatuma ofa Azam,
Hatumtaki huku Yanga.
 
Back
Top Bottom