Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,511
Katiba inasema kuna uhuru wa kuabudu. Afande Sele alitoa audio moja ambayo haikuwa na maadili au maneno mazuri. Alimtukana mungu.
Kuna watu wanataka ifanya issue.mimi naamini kwa uwezo wake mungu huyo anaweza jipigania. Mungu mkuu hahitaji jeshi la wanadamu kumpa support.
But zaidi sikusikia akimtaja mungu wa mtu yeyote. Why sasa muanze ifanya kuwa ni issue? Ni kukosa kazi,kutokuwa na elimu,kutokuwa na ufahamu na uwezo wa kufikiri.
Yeye anaamini mungu si kitu na ametoa lugha ya kuudhi kwa mungu.wewe unapata wapi ujasiri wa kusema kamtukana mungu wako? Na je mungu akiitwa aje atoe ushahidi ameumizwa kiasi gani na maneno ya afande sele atakuja?
Lakini ikiwa zikapita siku hizo zilizotamkwa na asipokufa je itamanisha huyo mungu hana lolote? Na je akifa ndani ya siku hizo itaaminisha wengine kuwa mungu alichukia?kuna tofauti gani ukagombana na jirani mchawi akasema kesho hufiki na usiku ukafa?je naye ni mungu?
Na sisi tumemkufuru mara ngapi kwa kutenda dhambi ? Afande Sele hajawah kuwa na akili timamu toka miaka mingi imepita wenye akili wala hatuhitaji kuhangaika naye. Zaidi mna m promote tu.
But simuungi mkono kwa lugha chafu aliyotumia. Mimi naamini Mungu wangu ana uwezo mkubwa na atajionesha uwezo wake. Si lazima mpaka afande sele amtambue. Hana haja. Na walio karibu naye wamuase kuacha tumia vitu vinavyomchanganya akili.
Kuna watu wanataka ifanya issue.mimi naamini kwa uwezo wake mungu huyo anaweza jipigania. Mungu mkuu hahitaji jeshi la wanadamu kumpa support.
But zaidi sikusikia akimtaja mungu wa mtu yeyote. Why sasa muanze ifanya kuwa ni issue? Ni kukosa kazi,kutokuwa na elimu,kutokuwa na ufahamu na uwezo wa kufikiri.
Yeye anaamini mungu si kitu na ametoa lugha ya kuudhi kwa mungu.wewe unapata wapi ujasiri wa kusema kamtukana mungu wako? Na je mungu akiitwa aje atoe ushahidi ameumizwa kiasi gani na maneno ya afande sele atakuja?
Lakini ikiwa zikapita siku hizo zilizotamkwa na asipokufa je itamanisha huyo mungu hana lolote? Na je akifa ndani ya siku hizo itaaminisha wengine kuwa mungu alichukia?kuna tofauti gani ukagombana na jirani mchawi akasema kesho hufiki na usiku ukafa?je naye ni mungu?
Na sisi tumemkufuru mara ngapi kwa kutenda dhambi ? Afande Sele hajawah kuwa na akili timamu toka miaka mingi imepita wenye akili wala hatuhitaji kuhangaika naye. Zaidi mna m promote tu.
But simuungi mkono kwa lugha chafu aliyotumia. Mimi naamini Mungu wangu ana uwezo mkubwa na atajionesha uwezo wake. Si lazima mpaka afande sele amtambue. Hana haja. Na walio karibu naye wamuase kuacha tumia vitu vinavyomchanganya akili.