dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
Adui wa mTanzania ni Mtanzania mwenzakeWatu wana wivu tu na mchechu. Hata rais ana wivu na mchechu.
Watu kibao wanalipwa zaidi ya mchechu ila hawaongelewi. Mchechu yamemkuta hayo kisa tu alikua team lowassa.
Yule mama wa tanzania investment centre anakula 38+m, na wengine wa dawasco,tpdc,tcra,rea nk ila hawaguswi.
Ni wivu tu kwa mchechu. Sioni sababu ya kumuonea wivu mchechu.