Mafanikio ganiiiiii? Kwanza huyo hakufuatwa na Serikali inaonekana ulianzisha mada hii umesahau Mada iliyomhusu Mchechu humu JF pindi Jengo refu la Indira Gandhi lilipo poromoka na kuua watanzania kibao. Huyu Mchechu aliomba kazi kitambo kupitia Shirika moja la Kimataifa katika Usaili na linaloheshimika sana Tanzania na Duniani kote. Alifeli katika michakato ya usaili lakini Figisufigisu zikafanywa akapewa ulaji kwa maslahi ya watu. Hivi wewe ukipewa MAHELA na support yote kutoka Serikali tena na mihela mingine ni mideni kwa Serikali utashindwa kusimamisha mijengo? Hebu niambie Nyumba ya bei nafuu ni Mil. 60 - 80 ya vyumba 3? Halafu Viwanja anajiuzia mwenyewe. Huyu cheki bobu alizani Kijibenki alichokuwa anakiongoza ni sawa na kitu kinaitwa SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA lidude,kubwa. Matokeo yake kaingia kichwakichwa kimenuka kudadadeki... eti mshahara Mil. 35. Anakula nini? anaishi wapi? labda Dubai kila jioni baada ya masaa ya kazi anachukua ndege ya kukodi anarudi kupumzika hadi kesho yake kazini. Vinginevyo aje hapa ajustify matumizi ya Mil. 35. Jipu hili.
Nimekuwa nafuatilia mjadala hasa wa Rais Mtukufu bwana Magufuli kuhusu mishahara ya watumishi kuwa mikubwa.... KIMSINGI Nadhani rais ana nia njema ya kujenga moyo wa uzalendo kwa watu ili watangulize maslahi ya Taifa kwanza na yao binafs yaje baadae.. Tatizo langu nikwamba watu wengi tumejukita zaidi kumshambulia Nehemia Mchechu CEO wa NHC. Et tu kwa kiwango tunacho kiita kikubwa cha mshahara wa M35. Wengi wetu hatuzungumzii mchechu alikutoka alikuwa analipwa 26M. Na alianza project ya kujenga nyumba akiwa kwenye ataasisi yake ya zamani. So serikali iliona atafunika NHC zaid kwasababu ni waz shirika likisha kuwa kinapumulia mipira. NHC kifupi ikishakaribia kufa Bwana mchechu hakuomba kazi NHC serikali ilimfuata. Mchechu amefanya kazi kubwa sana NHC ukilinganisha na ilivyokuwa mwanzo. Mchechu anastahili kulipwa zaid ya hapoo. NhC ni shirika la 3 now kwa Ubora wa mashirika ya Nyumba africa lakwanza NHS ya SA yapili Ethiopia na yTatu Tanzania. Sasa mnataka huyu kijana wa watu afanye nn? Watu wanaongea hoja ya nyumba za NHC kuwa za bei kali sio za watu wa hali ya Chini. Thts true but we hv to know kwamba Sera ya NHC haijawahi kuwa na sera hiyo ya nyumba za bei nafuu kwa watu wa Hali ya Chini. Hakuna mahala popote NHC iliwekwaa kwaajili ya kujenga makazi ya Wanyonge. So kama kuna wtu tunahitaji NHC iwe ya wanyonge ni kuwakumbusha watunga Sera wetu wakabadili sera ya NHC kuacha kujiendesha kibiashara. Mchechu hata kwa hako ka M30 anatuhurumia tuu. Wenye vyeo kama chake huko kwenye taasisi aliyotoka sasa hivwanakula mpaka M75. Ifike mahali tusissukumwe kwa wivu pekee juu ya Mchechu tuache wivu tumuache afanye kazi.
Nimekuwa nafuatilia mjadala hasa wa Rais Mtukufu bwana Magufuli kuhusu mishahara ya watumishi kuwa mikubwa.
KIMSINGI Nadhani rais ana nia njema ya kujenga moyo wa uzalendo kwa watu ili watangulize maslahi ya Taifa kwanza na yao binafsi yaje baadae.
Tatizo langu nikwamba watu wengi tumejikita zaidi kumshambulia Nehemia Mchechu CEO wa NHC. Eti tu kwa kiwango tunachokiita kikubwa cha mshahara wa M35. Wengi wetu hatuzungumzii Mchechu alikutoka alikuwa analipwa 26M.
Na alianza project ya kujenga nyumba akiwa kwenye taasisi yake ya zamani. So serikali iliona atafunika NHC zaidi kwasababu ni wazi shirika lilishakuwa kinapumulia mipira.
NHC kifupi ikishakaribia kufa Bwana Mchechu hakuomba kazi NHC serikali ilimfuata. Mchechu amefanya kazi kubwa sana NHC ukilinganisha na ilivyokuwa mwanzo. Mchechu anastahili kulipwa zaid ya hapoo.
NHC ni shirika la 3 now kwa Ubora wa mashirika ya Nyumba africa lakwanza NHS ya SA yapili Ethiopia na Tatu Tanzania. Sasa mnataka huyu kijana wa watu afanye nini? Watu wanaongea hoja ya nyumba za NHC kuwa za bei kali sio za watu wa hali ya Chini.
Thats true but we have to know kwamba Sera ya NHC haijawahi kuwa na sera hiyo ya nyumba za bei nafuu kwa watu wa Hali ya Chini. Hakuna mahala popote NHC iliwekwaa kwaajili ya kujenga makazi ya Wanyonge.
Mafanikio ganiiiiii? Kwanza huyo hakufuatwa na Serikali inaonekana ulianzisha mada hii umesahau Mada iliyomhusu Mchechu humu JF pindi Jengo refu la Indira Gandhi lilipo poromoka na kuua watanzania kibao. Huyu Mchechu aliomba kazi kitambo kupitia Shirika moja la Kimataifa katika Usaili na linaloheshimika sana Tanzania na Duniani kote. Alifeli katika michakato ya usaili lakini Figisufigisu zikafanywa akapewa ulaji kwa maslahi ya watu. Hivi wewe ukipewa MAHELA na support yote kutoka Serikali tena na mihela mingine ni mideni kwa Serikali utashindwa kusimamisha mijengo? Hebu niambie Nyumba ya bei nafuu ni Mil. 60 - 80 ya vyumba 3? Halafu Viwanja anajiuzia mwenyewe. Huyu cheki bobu alizani Kijibenki alichokuwa anakiongoza ni sawa na kitu kinaitwa SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA lidude,kubwa. Matokeo yake kaingia kichwakichwa kimenuka kudadadeki... eti mshahara Mil. 35. Anakula nini? anaishi wapi? labda Dubai kila jioni baada ya masaa ya kazi anachukua ndege ya kukodi anarudi kupumzika hadi kesho yake kazini. Vinginevyo aje hapa ajustify matumizi ya Mil. 35. Jipu hili.
So kama kuna watu tunahitaji NHC iwe ya wanyonge ni kuwakumbusha watunga Sera wetu wakabadili sera ya NHC kuacha kujiendesha kibiashara. Mchechu hata kwa hako ka M30 anatuhurumia tuu.
Wenye vyeo kama chake huko kwenye taasisi aliyotoka sasa hivi wanakula mpaka M75. Ifike mahali tusisukumwe kwa wivu pekee juu ya Mchechu tuache wivu tumuache afanye kazi.
DG wa TANAPA alipwe mabilion mangapi!? Unajua sekta ya utalii inaingiza kiasi gani kwa nchi? Au Kamishna wa TRA tumlipe trillion ngapi? Tukitaka kila mtendaji anayekusanya raslimali kwa niaba ya serikali alipwe kulingana na anachokusanya....sijui kama tutafika.Wadau embu tuweke hisia za wivu na chuki pembeni na tuijadili mada katika sura halisi.....
TUANGALIE KUWA HUYO DG ANALIINGIZIA TAIFA KIASI GANI CHA SHILINGI KAMA FAIDA KUPITIA UTENDAJI WAKE.......na kwa kipindi cha utumishi wake ameliinua shirika kwa kiwango gani....na mpaka sasa hivi hilo shirika linaendesha miradi ya kiasi gani nchi nzima.....alafu ndio tuje kwenye kiasi anacholipwa huyo mwenye mamlaka ya kuyasimamia hayo yote....je kina stahili na kile tunachokiona........
Vnginevyo huu mjadala utakuwa kama wa mashangingi ya magomeni au ilala......
Hata mimi nisingekubali kusimamia mradi wa mamilioni ya shilingi alafu nilipwe vijisenti.....
Watu wana wivu tu na mchechu. Hata rais ana wivu na mchechu.
Watu kibao wanalipwa zaidi ya mchechu ila hawaongelewi. Mchechu yamemkuta hayo kisa tu alikua team lowassa.
Yule mama wa tanzania investment centre anakula 38+m, na wengine wa dawasco,tpdc,tcra,rea nk ila hawaguswi.
Ni wivu tu kwa mchechu. Sioni sababu ya kumuonea wivu mchechu.
Nimekuwa nafuatilia mjadala hasa wa Rais Mtukufu bwana Magufuli kuhusu mishahara ya watumishi kuwa mikubwa.
KIMSINGI Nadhani rais ana nia njema ya kujenga moyo wa uzalendo kwa watu ili watangulize maslahi ya Taifa kwanza na yao binafsi yaje baadae.
Tatizo langu nikwamba watu wengi tumejikita zaidi kumshambulia Nehemia Mchechu CEO wa NHC. Eti tu kwa kiwango tunachokiita kikubwa cha mshahara wa M35. Wengi wetu hatuzungumzii Mchechu alikutoka alikuwa analipwa 26M.
Na alianza project ya kujenga nyumba akiwa kwenye taasisi yake ya zamani. So serikali iliona atafunika NHC zaidi kwasababu ni wazi shirika lilishakuwa kinapumulia mipira.
NHC kifupi ikishakaribia kufa Bwana Mchechu hakuomba kazi NHC serikali ilimfuata. Mchechu amefanya kazi kubwa sana NHC ukilinganisha na ilivyokuwa mwanzo. Mchechu anastahili kulipwa zaid ya hapoo.
NHC ni shirika la 3 now kwa Ubora wa mashirika ya Nyumba africa lakwanza NHS ya SA yapili Ethiopia na Tatu Tanzania. Sasa mnataka huyu kijana wa watu afanye nini? Watu wanaongea hoja ya nyumba za NHC kuwa za bei kali sio za watu wa hali ya Chini.
Thats true but we have to know kwamba Sera ya NHC haijawahi kuwa na sera hiyo ya nyumba za bei nafuu kwa watu wa Hali ya Chini. Hakuna mahala popote NHC iliwekwaa kwaajili ya kujenga makazi ya Wanyonge.
So kama kuna watu tunahitaji NHC iwe ya wanyonge ni kuwakumbusha watunga Sera wetu wakabadili sera ya NHC kuacha kujiendesha kibiashara. Mchechu hata kwa hako ka M30 anatuhurumia tuu.
Wenye vyeo kama chake huko kwenye taasisi aliyotoka sasa hivi wanakula mpaka M75. Ifike mahali tusisukumwe kwa wivu pekee juu ya Mchechu tuache wivu tumuache afanye kazi.
Na bado takribani 60% ya watanzania wanaishi chini ya dollar moja,kama hizo nyumba sio kwa ajili ya manufaa ya umma wasio kuwa na uwezo haina maanaKwani yeye tu ndio CEO ambaye shirika lake lina mchango mkubwa? Kwanza sijui NHC inachangia kiasi gani kwenye pato la taifa. Kwa hoja yako basi DG wa TANAPA ndo anatakiwa ale hela ndefu maana tourism ina mchango mkubwa kwenye GDP ya nchi.
mimi nimesema EPL,Manchester City inamilikiwa na mtu tajiri sana duniani, je ilishawahi fika hata Quarter Finals za CL??
Real Madrid imekuwa club tajiri duniani kwa miaka zaidi ya kumi mfululizo, lakini ilikaa miaka 10 bila kubeba CL..
BTW, Investment za NHC ni favorable.. Deni sio shida, kuna kitu kinaitwa Payback Period.. Baada ya muda hayo madeni yatajilipa na Shirika litaanza kujiendesha kwa faida. Mfano; ukikopa Million 50 ukajenga nyumba then ukaja kuiuza kwa Million 70 hapo umepata faida ya Million 20..
Nasikia wanalipana lunch allowance milion mbili kwa mwezi ni kwel?Kwahiyo wa TANAPA alipwe bilioni ngapi? Maana uchumi unategemea sana utalii
Kina chenge wapo wengi sana nchi hii(viji cent)Nanukuu...'Mchechu hata kwa hako ka M30 anatuhurumia tuu.'
Mtamkumbuka kikwete, ten years mlibembea sana na matusi na kejeli juu kwa wananchi,unatetea mafanikio ya watu waliokwiba pesa za umma,arudi sasa kwenye hiyo asasi hakuna mtu atahoji,nhc ni mali ya umma,Watz bado tumeathiriwa na fikra za ujamaa,tunachukia sana watu wenye mafanikio,hatutaki kuwatumia kama case study ili na sisi tuwe kama wao.Fikra za namna hii ndio imesababisha Tanzania kuchelewa kupata maendele.Ktk uchumi wa kibepari mwenye bidii na kipaji ndio huzawadiwa (rewarded).
skill ya kuwanyang'anya fursa raia waliopewa na nyerere rukhsa ya kuishi mitaa ya upanga kama mindu, na maeneo mengine na kuwapa nafasi wahindi, waarabu na wachina hukuakilipwa na jamii anayowafukuza.Kati ya watu m46, hivi yeye tu ndio ana skili nyingi?
Hahahahahaha,mkuu kuna uzi humu yapata wiki moja sasa unajadili mada ya mshahara anaolipwa Mkwasa.Mbona Makocha wa Taifa Stars wanalipwa mishahara mikubwa na tunaishia kuwa kichwa cha mwendawazimu hawasemi?
Tena hiyo ndogo sana... Mchechu anastahili kulipa Million 70 kama wanavyolipwa DG wengine...DG wa TANAPA alipwe mabilion mangapi!? Unajua sekta ya utalii inaingiza kiasi gani kwa nchi? Au Kamishna wa TRA tumlipe trillion ngapi? Tukitaka kila mtendaji anayekusanya raslimali kwa niaba ya serikali alipwe kulingana na anachokusanya....sijui kama tutafika.
Kwa kukusaidia tu....NHC chini ya Mchechi inatoa gawiwo la mil 200 kwa serikali kuu kila mwaka. Je, faida ya huyo Mchechu ipo wapi!?
Pia kama hujui, pesa zote anazopata kutokana na mauzo ya nyumba uwa zinatumika kulipa mikopo aliyoichota kwenye mabenki.
Nashukuru kwa ufafanuzi wako wa kina....haya ndio niliyokuwa nayataka na sio bra bra.....DG wa TANAPA alipwe mabilion mangapi!? Unajua sekta ya utalii inaingiza kiasi gani kwa nchi? Au Kamishna wa TRA tumlipe trillion ngapi? Tukitaka kila mtendaji anayekusanya raslimali kwa niaba ya serikali alipwe kulingana na anachokusanya....sijui kama tutafika.
Kwa kukusaidia tu....NHC chini ya Mchechi inatoa gawiwo la mil 200 kwa serikali kuu kila mwaka. Je, faida ya huyo Mchechu ipo wapi!?
Pia kama hujui, pesa zote anazopata kutokana na mauzo ya nyumba uwa zinatumika kulipa mikopo aliyoichota kwenye mabenki.
Hii ni boomerang effect. Ukiirusha ujue itakurudia. Alikejeli sana watu, mpaka wakajiuliza kijana huyu hii jeuri anaipata wapi? Sema wivu, sema roho mbaya, sisi tunasubiri ushahidi. Mtu aliyekosa unyenyekevu na kudharau watu wenye umri wa wazazi wake lazima amefanya madhambi mengi. Na kama alijipa nyumba naomba itaifishwe mara moja. Akae sehemu ya hadhi yake, lupango.Nimekuwa nafuatilia mjadala hasa wa Rais Mtukufu bwana Magufuli kuhusu mishahara ya watumishi kuwa mikubwa.
KIMSINGI Nadhani rais ana nia njema ya kujenga moyo wa uzalendo kwa watu ili watangulize maslahi ya Taifa kwanza na yao binafsi yaje baadae.
Tatizo langu nikwamba watu wengi tumejikita zaidi kumshambulia Nehemia Mchechu CEO wa NHC. Eti tu kwa kiwango tunachokiita kikubwa cha mshahara wa M35. Wengi wetu hatuzungumzii Mchechu alikutoka alikuwa analipwa 26M.
Na alianza project ya kujenga nyumba akiwa kwenye taasisi yake ya zamani. So serikali iliona atafunika NHC zaidi kwasababu ni wazi shirika lilishakuwa kinapumulia mipira.
NHC kifupi ikishakaribia kufa Bwana Mchechu hakuomba kazi NHC serikali ilimfuata. Mchechu amefanya kazi kubwa sana NHC ukilinganisha na ilivyokuwa mwanzo. Mchechu anastahili kulipwa zaid ya hapoo.
NHC ni shirika la 3 now kwa Ubora wa mashirika ya Nyumba africa lakwanza NHS ya SA yapili Ethiopia na Tatu Tanzania. Sasa mnataka huyu kijana wa watu afanye nini? Watu wanaongea hoja ya nyumba za NHC kuwa za bei kali sio za watu wa hali ya Chini.
Thats true but we have to know kwamba Sera ya NHC haijawahi kuwa na sera hiyo ya nyumba za bei nafuu kwa watu wa Hali ya Chini. Hakuna mahala popote NHC iliwekwaa kwaajili ya kujenga makazi ya Wanyonge.
So kama kuna watu tunahitaji NHC iwe ya wanyonge ni kuwakumbusha watunga Sera wetu wakabadili sera ya NHC kuacha kujiendesha kibiashara. Mchechu hata kwa hako ka M30 anatuhurumia tuu.
Wenye vyeo kama chake huko kwenye taasisi aliyotoka sasa hivi wanakula mpaka M75. Ifike mahali tusisukumwe kwa wivu pekee juu ya Mchechu tuache wivu tumuache afanye kazi.