Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,642
- 18,646
Yule jamaa wa TBA kanikasirisha sana eti ni kawaida kwa majengo marefu kupiga ufa...
Hadi sasa hivi nimeshangaa yupo duniani.. Tetemeko likipita hapo kuna idadi kubwa sana ya wanafunzi hapo kupoteza maisha, kwaajili ya ujinga ya msomi mmoja kuidanganya dunia kawaida ya majengo marefu kupiga ufa....
Hadi sasa hivi nimeshangaa yupo duniani.. Tetemeko likipita hapo kuna idadi kubwa sana ya wanafunzi hapo kupoteza maisha, kwaajili ya ujinga ya msomi mmoja kuidanganya dunia kawaida ya majengo marefu kupiga ufa....