cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,329
Kwahyo mnaahindana kufanya utopolo sio, CDM ka upinzani na mubadala kwanini mfanye madudu tenaMbona na ccm wameubadili n kuweka maneno mengine ya kumsifia maguduli.. nyie vipi.. acheni utoto
Kwahyo mnaahindana kufanya utopolo sio, CDM ka upinzani na mubadala kwanini mfanye madudu tenaMbona na ccm wameubadili n kuweka maneno mengine ya kumsifia maguduli.. nyie vipi.. acheni utoto
Wangefanya ccm asingetoa neno, unafiki tuuNimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
Sahihi kabisa, ccm mnasikitisha bora mm sina chamaWalichofanya Chadema, wameimba kwanza wimbo wa Taifa...... Then wakajiimbia wimbo wao kwa kutumia tune ya wimbo wa Taifa.
Original tune ya wimbo huu wa South Africa na ulitungwa mwaka 1897. Sisi tumeiga, Zambia pia wameiga na Chadema nao wameiga.
Unaweza kuweka hapa tuone alivyopost?
Alafu utofauti wenu na ccm uko wapi sasa? Kama kila kitu mnasema mbona ccm vile mara hivi,! Acheni ujinga
Have you read The National Flag and Coat of Arms Act of 1971 ????Mkuu natamani kama ungeongeza zaidi maoni yako kuhusu hili tukio.
Mimi nipo njia panda nikosoe au niafikiane na CDM.
I'm standing at the crossroads indeed.
...🤔🤔🤔...Hypocrisy of the Pot calling the Kettle black.
Pia kuna taifa la Zanzibar ndani ya taifa la Tanzania, wanasiasa nao kila mmoja ana taifa lake ndani ya taifa la Tanzania, hiyo ni kawaida sana kwa nchi hii. Ila tatizo hapa ni taifa la Tanganyika kujificha ndani ya taifa la Tanzania.Taifa la chadema ndani ya taifa la Tanzania.Mambo yanaanza taratibu hivi.Mi sisemi !!!
Tuliwahi badili wimbo wa chuo kuna beti ikisema ualimu ni wito sote tumeitikia,watu tukawa tunaimba ualimu ni kazi wote tunaisomeaKafungueni kesi mahakamani kama mmekereka tuje kuwagalagaza huko huko mahakamaccm.
Mataga vipi tujibuni hao hamjawaona lakini chadema ndio mmewaona kwa wepesiAiseeHivi hujaona hata tofauti hapo Kati ya nyimbo hizo mbili ? Au tuma nyimbo kamili nione Kama wameanza kuimba wimbo wote wa Taifa
Siku zote nimekua nikimkemea yule Pepo mkuu ndani ya Chadema.Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
Yes, I did.Have you read The National Flag and Coat of Arms Act of 1971 ????
Inawezekana ni kwa mazoea tu au Common-Law (unwritten law).Kubadili mifuko ya suti na kuweka bendera kama Kangi Lugora si sahihi
TL kauliza, sheria gani ya nembo za Taifa imevunjwa?
Jaji Mutungi ambaye ni Jaji alipaswa kujua hili.
Nina question sana utartibu unaotumika hasa kupata wateule, mabalozi, majaji n.k.
JokaKuu
Na wewe zitto wako unakunywa naye chai ??Zitto ana busara zaidi kuliko chadema nzima
Nadhani wanaokomalia hiyo kitu wanasababu zao, ila sio wimbo wa kwanza kupigwa marufuku.Hahah yaani watu waache kusikitia mafao yao kucheleweshwa,ajira tangu 2015 hazitolewi kwa vijana wanaotoka mavyuoni,nyongeza za mishahara hakuna eti waje waonyeshwe clip ya wimbo wasikitike?
Hahah Nimecheka kifalaaa aisee.
Hahahaha topic closed! Dah mleta mada akajua ameimaliza Chadema kumbe ndio kwanza....Hata mimi napinga ila ni vizuri kuwe na mizania sawa kwenye hayo makatazo.
View attachment 1527227