technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,648
- 58,455
- Thread starter
- #121
Wewe ndiye m binafisi mpumbavu mkubwa hivi ukiwa mkosoa Serikali yeyote ni wa kasikazini?....Nimekupa Likes 100 mkuu.
Haya majitu ni mabinafsi kupita ubinafsi. Ndio maana Mh Rais anayashughulikia ipasavyo na dawa inawaingia.
U masikini wenu umewafanya muone kuwa kila aliyesababisha umasikni wenu ni mkasikazini? Au ni fisadi?...
Kweli wewe ni mpumbavu wa mwisho tafuteni maendeleo....
Acheni kulia lia na kasikazini......
Mimi binafisi ni mtu wa kanda ya ziwa lakini kutetea ujinga unaofanywa na mkuu wenu na mabwana zanu sitaunyamazia ....
Nitaongea tu ukweli , kama wewe ni masikini ni masikini tu wala usifikirie kujenga uwanja wa ndege chato kutakutoa kwenye u masikini....
Very foolish.....