Yaani amekuwa kama ana ugonjwa wa ngoziCream mbaya sana
Hiyo ndio consequence ya kutoridhika sasa 😂😂😂😂Dah anatisha kwa kweli
Huyu ndio dotnata yule alietetemesha jiji la mzizima miaka ile.Kaharibika sana dotnAta
Tuma picha tuthibitisheKwakweli acha niendelee kuung’ang’ania ucheusi mangala wangu kama matokeo ndio haya.
Mizinga pia inazeesha haraka na kuharibu sura ni vile hamjui tu.Mizinga tunaachaje sasa haihusian na hii mada
Duh weweMizinga pia inazeesha haraka na kuharibu sura ni vile hamjui tu.
Weusi deal kipenziiiiiKwakweli acha niendelee kuung’ang’ania ucheusi mangala wangu kama matokeo ndio haya.
Bora uwaambie ukweli.hapa mnaropoka na kuyasemea vibaya mawigi makope makucha na cream lkn akipita mtaan mtu mwenye hivyo vyote mnaweweseka hadi mnasahau kufunga zip zenu.
Bora Zari pesa anazo, atakua anatumia vifuatilifu vya kuzuia ngozi isiharibike.Ndio na kujiongezea weupe
Huyu mother hadi nikauliza ni mgonjwa?? Nikapewa jibu hilo la Title yako.View attachment 2526029
View attachment 2526030
Ngozi inaharibika sanaa ukizeeka pia Mbona kuna wabibi wana ngozi nzuri sanaa na wamezeeka tuache kutumia vipodozi vikali
Mwanaume atakupenda tu hata ukiwa wa njano au mwekundu ukiona hajakupenda jua sio wako ,wako yupo tu atapenda rangi yako maana wanawake wengi wanahangaika kujipodoa sababu ya wanaume