Tuache kujichubua

Binadamu huwa haturidhiki hasa Wanawake wengi kwa upande wa Jinsi ambavyo Mungu alivyotuumba.
Umepewa ngozi nzuri nyeusi na ya Kung'aa na wewe unatafuta vipodozi unaanza kujiunguza ngozi ili upate rangi unayoitaka, kwani Mungu alikosea Kukupa hiyo rangi ya ngozi ?
 
View attachment 2526029
View attachment 2526030
Ngozi inaharibika sanaa ukizeeka pia Mbona kuna wabibi wana ngozi nzuri sanaa na wamezeeka tuache kutumia vipodozi vikali

Mwanaume atakupenda tu hata ukiwa wa njano au mwekundu ukiona hajakupenda jua sio wako ,wako yupo tu atapenda rangi yako maana wanawake wengi wanahangaika kujipodoa sababu ya wanaume
Huyu mother hadi nikauliza ni mgonjwa?? Nikapewa jibu hilo la Title yako.
 
Kuna mama, umri umekwenda, anafanya biashara ya kuuza mahindi ya kuchoma, anajichubua kwa faida kidogo anayopata. Hayo ninaona ni mateso, joto lile la kuchoma mahindi linaikaanga ngozi yake, badala ya kupendeza akawa kideo. Ni dhambi kubwa kumkosoa Mungu katika uumbaji wake. Ni kwa nini asikufanye mzungu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom