Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,660
- 68,628
Ngozi inaharibika sanaa ukizeeka pia Mbona kuna wabibi wana ngozi nzuri sanaa na wamezeeka tuache kutumia vipodozi vikali
Mwanaume atakupenda tu hata ukiwa wa njano au mwekundu ukiona hajakupenda jua sio wako ,wako yupo tu atapenda rangi yako maana wanawake wengi wanahangaika kujipodoa sababu ya wanaume