Tuache kujichubua

Dejane

JF-Expert Member
Jan 1, 2014
49,660
68,628
IMG_7743.jpg

IMG_7744.jpg

Ngozi inaharibika sanaa ukizeeka pia Mbona kuna wabibi wana ngozi nzuri sanaa na wamezeeka tuache kutumia vipodozi vikali

Mwanaume atakupenda tu hata ukiwa wa njano au mwekundu ukiona hajakupenda jua sio wako ,wako yupo tu atapenda rangi yako maana wanawake wengi wanahangaika kujipodoa sababu ya wanaume
 
Airport Dar (Julius Nyerere International Airport) kila siku Wachina hushuka na Wake zao lakini huwezipata Ke wa kichina wamefungasha maumbile bandia ya miili wasiwe kimbaumbau kiasilia kuliko Ke wa Bongo wasivyojiamini kwa uzuri wa maumbile yao ya asili hadi kulazimisha kuwa na;

✓ Matako na hispsi feki/bandia tokana na;

* Kupaka dawa.

* Kuchoma sindano za kuumua sehemu hizo.

* Kumeza vidonge.

* Kufanyiwa plastic surgery.

✓ Wigi (nywele za maiti).

✓ Kujichora chora mitatuu mwilini.

✓ Kujiwekea mipini puani kama ng'ombe.

✓ Kujiwekea mikope bandia.

✓ Kujiwekea mikucha mireeefu hadi ashindwe kujichamba chooni.

✓ Kupakaa rangi nyekundu kwenye lipsi za midomoni kama katoka kunywa damu ya Mtu.

✓ Kuvaa skin tights za vigodoro kujaladia hispsi na matako bandia.

MADHARA:

1. Nyeti za miili (K) kuwa na maji mengi, ubaridi.

2. Kansa za kizazi, damu, ngozi n.k.

3. Ke kupoteza hamu ya kujamiiana na mwenzi.

4. Ke kuzeeka na kukongoroka mapema kwa mbabuko wa ngozi na makalio kushuka.

Bongo tunakwama wapi?
 
Airport Dar (Julius Nyerere International Airport) kila siku Wachina hushuka na Wake zao lakini huwezipata Ke wa kichina wamefungasha maumbile bandia ya miili wasiwe kimbaumbau kiasilia kuliko Ke wa Bongo wasivyojiamini kwa uzuri wa maumbile yao ya asili hadi kulazimisha kuwa na;

✓ Matako na hispsi feki/bandia tokana na;

* Kupata dawa.

* Kuchoma sindano za kuumua sehemu hizo.

* Kameza vidonge.

* Kafanyiwa plastic surgery.

✓ Wigi (nywele za maiti).

✓ Kajichora chora mitatuu mwilini.

✓ Kajiwekea mipini puani kama ng'ombe.

✓ Kajiwekea mikope bandia.

✓ Kajiwekea mikucha mireeefu hadi ashindwe kujichamba chooni.
✓ Kapakaa rangi nyekundu kwenye lispsi za midomoni kama katoka kunywa damu ya Mtu.
✓ Kavaa skin tights za vigodoro kujaladia hispsi na matako bandia.

MADHARA:

1. Nyeti za miili (K) kuwa na maji mengi, ubaridi.

2. Kansa za kizazi, damu, ngozi n.k.

3. Ke kupoteza hamu ya kujamiiana na mwenzi.

4. Ke kuzeeka na kukongoroka mapema kwa mbabuko wa ngozi na makalio kushuka.

Bongo tunakwama wapi?
Wana harufu fulani watu wanayotumia hayo madude hawajui tu haswa manywele yananuka , sometimes unakuta binti anajikuna Kuna machawa kibao wengine hawazioshi kabis hata mwezi
 
Airport Dar (Julius Nyerere International Airport) kila siku Wachina hushuka na Wake zao lakini huwezipata Ke wa kichina wamefungasha maumbile bandia ya miili wasiwe kimbaumbau kiasilia kuliko Ke wa Bongo wasivyojiamini kwa uzuri wa maumbile yao ya asili hadi kulazimisha kuwa na;

✓ Matako na hispsi feki/bandia tokana na;

* Kupata dawa.

* Kuchoma sindano za kuumua sehemu hizo.

* Kameza vidonge.

* Kafanyiwa plastic surgery.

✓ Wigi (nywele za maiti).

✓ Kajichora chora mitatuu mwilini.

✓ Kajiwekea mipini puani kama ng'ombe.

✓ Kajiwekea mikope bandia.

✓ Kajiwekea mikucha mireeefu hadi ashindwe kujichamba chooni.
✓ Kapakaa rangi nyekundu kwenye lispsi za midomoni kama katoka kunywa damu ya Mtu.
✓ Kavaa skin tights za vigodoro kujaladia hispsi na matako bandia.

MADHARA:

1. Nyeti za miili (K) kuwa na maji mengi, ubaridi.

2. Kansa za kizazi, damu, ngozi n.k.

3. Ke kupoteza hamu ya kujamiiana na mwenzi.

4. Ke kuzeeka na kukongoroka mapema kwa mbabuko wa ngozi na makalio kushuka.

Bongo tunakwama wapi?
Halafu tukisemwa kwa kukosa akili na maarifa tunakuwa wakali. Waafrika tuna tatizo mahali, ama tunawekeza kwa vitu visivyo na maana.

Mtu unaenda kurefusha uume, kupaka mkongo, ili ugundue nini, unawekeza kwenye vitu vya kipumbavu, shukuru vile Mungu kakuumba endelea kuishi na kutimiza jukumu uliloitiwa duniani.

Waafrika wengi wetu hatujui purpose ya kuwepo duniani, tupo tu..ndio maana tunafanya mambo yasiyo na tija.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom