😀😀😀Bhna tumechoka kutusimangaWana harufu fulani watu wanayotumia hayo madude hawajui tu haswa manywele yananuka , sometimes unakuta binti anajikuna Kuna machawa kibao wengine hawazioshi kabis hata mwezi




Anasema labda upo kwenye sifuriNitaangalia kesho marudio sikuweza angalia mwayaaa





Aghrr ndo hapohapo bongo movie wanapofeli unakuta stori inaanza vizuri mwishoni sasa utopoloYa Fundi sule huku mwisho imepoa
Inaboa..
Kama imechacha hivi.
Namuona tu Peter na yule msichana wake.
Hawajui kwakweliHawajui kutunga stori
Fundi ni hovyo sana aiseeAghrr ndo hapohapo bongo movie wanapofeli unakuta stori inaanza vizuri mwishoni sasa utopolo
Finishing mbovu mnoHawajui kwakweli

Fundi ni hovyo sana aisee
Natamani hata waitoe.
Ila nahisi inaishia wiki hii.

Uzuri ndio inaishaSiyo peke yako dyaa me mwenyewe nikasema mbona Kama siielewi sahivi hii fundi yaani sijui wanakwama(ga) wapiFinishing mbovu mno
Sijui ni mimi tu naona hivyo
Yaani haieleweki, inachosha hatari.
Mayasa anamwambia nenda njaa ikufilimbe![]()



halafu nilidhani katukana hapoKumbe tupo wawili 😂😂😂Siyo peke yako dyaa me mwenyewe nikasema mbona Kama siielewi sahivi hii fundi yaani sijui wanakwama(ga) wapi
Kwa kweliUzuri ndio inaisha
Eti naenda kwa mpenzi wangu Bi Ubwa🤣🤣🤣halafu nilidhani katukana hapo
Juzijuzi anamwambia umeniuliwa wanangu wewe nakufa mgumba🤣🤣🤣🤣,eti naomba unaizalie mtoto,
sasa we bwana mi mtoto namtoa wapi wakati sina kizazi
Ina maana mi nitakufa mgumba![]()