TTCL kusambaza huduma ya internet majumbani

TTCL kusambaza huduma ya internet majumbani

Watanyoka vipi wakati wanachagi kuendana na matumizi ya mteja. Wakati huko imekuja bei ya laki na laki mbili
Juu ya iyo gharama nina amini watareconsiser kuendana na hali..
Nipe bando ya mwezi ya hiyo mitandao ambayo ni unlimited yenye kasi na kuasi cha ujazo wake tulinganishe
 
Na vijijini??binafsi ntafurahi Sana ila hakuna umeme sasa sidhani kama watafikia malengo yao
 
Mkuu yupo msemaji halali katika sekta ya viwanda kwa nini unasisitiza mimi ndio nikuletee?hivi kuna sehemu specifically nilikuahidi kuwa mwezi wa tatu nitakuleta updates za ujenzi wa Viwanda?
Unataka kunichomekea hoja ili nisiaminike?
By the way nafurahi sana unavyofuatilia kwani na mimi nafuatilia vilivyo na nina uhakika kuwa turapata takwimu za progress ya ujenzi wa viwanda yenye kuonesha ni kwa jinsi gani tunaweza kutekeleza ahadi.

Hoja yangu kwako ni kwa wewe na chama chenu kuonesha upinzani kwa kuhoji utekelezaji wa ahadi za CCM ...kupitia hilo mnaweza kuwa threat kubwa kwa CCM kwa kiasi cha kutisha na hapo hapo mkasaidia maendeleo ya Taifa na sio kutuleta drama za ajabu ajabu.

Mkuu nimekutajia na mwezi kabisa nikijua nini ninachoongea. Nakumbuka wewe ndio ulianzisha uzi wa kuwataka wakuu wa mikoa na wilaya kutomuangusha rais na dhamira yake ya viwanda. Katika uzi ule ulipiga mkwara kutaka kuonyesha rais na ccm hamtomvumlia mkuu yoyote wa mkoa au wilaya ambaya hatofikia lengo hili la rais. Katika uzi ule mimi na wewe tulijadiliana kwa kirefu na nikakuambia ahadi si kitu kigeni kwenye serekali nyingi za ccm. Ulikataa katu katu na kusema serekali hii ni ya hapa kazi tu. Baada ya mjadala kuwa mkali, nikakuambia ikifika mwishoni mwa mwezi wa tatu nitaomba unipe taarifa ya awali ya ujenzi wa hivyo viwanda au kufufua. Jukumu lile ulionekana kujivika kwani ulitaka kupata ushindi na kuonyesha kwamba safari hii chini ya awamu hii hakuna ubabaishaji.

Halafu hata mwezi uliopita kama sio tarehe 29 basi ni 30 nilikuambia na kukumbusha kuhusu ahadi yangu itakapofika mwishoni mwa mwezi wa machi uniletee taarifa za awali za hivyo viwanda kila mkoa. Tena nilikuomba uandae jedwali zuri la kila mkoa, kiwanda na mahali kilipo. Ulidhani ni masihara kwani unadhani kila aliye hapa jukwaani hajui nini kinaendelea. Ulinijibu kwamba utaleta kwa ukali kidogo huku ukiniambia ninadhani viwanda havijengwi. Nikakuambia muda ndio utatoa jibu. Leo unataka kukwepa jambo tulilokubaliana kwani unajua utaumbuka. Kimsingi sitafuti ushindi wala lengo langu sio kukuumbua, bali nimejua wewe ni mbabaishaji na kibaya zaidi unajua hilo lililosemwa ni utapeli kama utapeli mwingine. Lakini haidhuru, hiyo ni kauli mbiu ya rais na itakuwa ahueni kwa vijana wetu kupata ajira. kwa kuwa ni ilani ya chama, na ni kipaombele cha mwenyekiti wenu, tumia nafasi yako huko chamani waambie kwamba Tindo wa jf anauliza jambo la msingi na linapaswa kujibiwa kwa usahihi ili kutudhihirishia kwamba mnachosema ndio kinachotendeka.

Kuna wenzako wengi wamenikimbia kwa sababu hizihizi, kila siku wanaleta propaganda hapa na nilipowabana na wakajua niko serious na ninajua ninachohoji sasa hivi wananikwepa. Kuna niliowauliza kuhusu gas na hapa tulipofikia, naona akakimbia baada ya maswali ya kina. Kuna mwingine nilimuuliza kuhusu klimo kwanza naye aliingia mitini. Sasa leo nimekubananisha wewe kwenye viwanda sijui utachomokaje. Jambo hili ndio litapandisha heshima yako au ya chama chako. Kinyume na hapo mtaendelea kukaa madarakani sio kwa ubora wa utekelezaji wa ilani, bali wizi wa kura, ubovu wa tume, mtaji wa ujinga na nguvu ya dola. Nakuhakikishia kwenye hili nitapata majibu ya kina. Ngoja niwaite wenzio
 
Mkuu nimekutajia na mwezi kabisa nikijua nini ninachoongea. Nakumbuka wewe ndio ulianzisha uzi wa kuwataka wakuu wa mikoa na wilaya kutomuangusha rais na dhamira yake ya viwanda. Katika uzi ule ulipiga mkwara kutaka kuonyesha rais na ccm hamtomvumlia mkuu yoyote wa mkoa au wilaya ambaya hatofikia lengo hili la rais. Katika uzi ule mimi na wewe tulijadiliana kwa kirefu na nikakuambia ahadi si kitu kigeni kwenye serekali nyingi za ccm. Ulikataa katu katu na kusema serekali hii ni ya hapa kazi tu. Baada ya mjadala kuwa mkali, nikakuambia ikifika mwishoni mwa mwezi wa tatu nitaomba unipe taarifa ya awali ya ujenzi wa hivyo viwanda au kufufua. Jukumu lile ulionekana kujivika kwani ulitaka kupata ushindi na kuonyesha kwamba safari hii chini ya awamu hii hakuna ubabaishaji.

halafu hata mwezi uliopita kama sio tarehe 29 basi ni 30 nilikuambia na kukumbusha kuhusu ahadi yangu itakapofika mwishoni mwa mwezi wa machi uniletee taarifa za awali za hivyo viwanda kila mkoa. Tena nilikuomba uandae jedwali zuri la kila mkoa, kiwanda na mahali kilipo. Ulidhani ni masihara kwani unadhani kila aliye hapa jukwaani hajui nini kinaendelea. Ulinijibu kwamba utaleta kwa ukali kidogo huku ukiniambia ninadhani viwanda havijengwi. Nikakuambia muda ndio utatoa jibu. Leo unataka kukwepa jambo tulilokubaliana kwani unajua utaumbuka. Kimsingi sitafuti ushindi wala lengo langu sio kukuumbua, bali nimejua wewe ni mbabaishaji na kibaya zaidi unajua hilo lililosemwa ni utapeli kama utapeli mwingine. Lakini haidhuru, hiyo ni kauli mbiu ya rais na itakuwa ahueni kwa vijana wetu kupata ajira. kwa kuwa ni ilani ya chama, na ni kipaombele cha mwenyekiti wenu, tumia nafasi yako huko chamani waambie kwamba Tindo wa jf anauliza jambo la msingi na linapaswa kujibiwa kwa usahihi ili kutudhihirishia kwamba mnachosema ndio kinachotendeka.

Kuna wenzako wengi wamenikimbia kwa sababu hizihizi, kila siku wanaleta propaganda hapa na nilipowabana na wakajua niko serious na ninajua ninachohoji sasa hivi wananikwepa. Kuna niliowauliza kuhusu gas na hapa tulipofikia, naona akakimbia baada ya maswali ya kina. Kuna mwingine nilimuuliza kuhusu klimo kwanza naye aliingia mitini. Sasa leo nimekubananisha wewe kwenye viwanda sijui utachomokaje. Jambo hili ndio litapandisha heshima yako au ya chama chako. Kinyume na hapo mtaendelea kukaa madarakani sio kwa ubora wa utekelezaji wa ilani, bali wizi wa kura, ubovu wa tume, mtaji wa ujinga na nguvu ya dola. Nakuhakikishia kwenye hili nitapata majibu ya kina. Ngoja niwaite wenzio

Naona unataka kujikweza kwa kujijenga juu ya hoja za kizushi kama ilivyo kawaida yenu...nitakukumbushia kuhusu uzushi mmoja maarufu mliowahi kuuleta ...yaani Magufuli kakataza vyama vya siasa kufanya siasa wakati Rais alisema wazi tuache siasa na tuwatumikie wananchi kwa ajili ya maendeleo yao...mlimanipulate maneno ya Rais na akawakomesha vilivyo.
Kwa hiyo usijaribu kumanipulate hoja zangu ili ujijenge kwani hutaweza...Im so goood in details nafanya follow up ya maswali na maswala ya msingi katika nchi na kama unanifuatilia utakuwa umegundua hilo.

Kuhusu viwanda nimekuwa ni mmoja wa watu ninaoleta updates muhimu sana kuhusu ujenzi na ufufuaji wa viwanda though wewe na vibaraka wengine mmekuwa mkidhihaki na kutukana.

Kiukweli kuna viwanda vingi sana vinaemerge kiasi hata kuupdate inakuwa ni kero kwenu !

Kama kweli unafuatilia utaweza kugundua haipiti wiki tatu vipo viwanda vinavyofufuliwa na kuanzishwa.suala la viwanda ni nyeti na linahitaji kupewa attention na wote yaani CCM na upinzani.sijawahi kusikia Chadema ambao ni wanafiki wakiuliza au kuongelea viwanda kwenye press zao ...kwa nini?hii ni kwa sababu wanajua CCM inasonga mbele kwenye eneo hili.

Kama uko makini nilishawahi kuleta idadi ya viwanda vilivyoanzishwa especially mkoa wa pwani na nikampa hongera mkuu wa mkoa wa pwani.

Hongera kwa mkoa wa Pwani katika uwekezaji wa viwanda

mada kama hizi nilizowahi kuzileta huwa mnazichukia sana.

Kama kweli unataka kufuatilia suala hili la viwanda ungekuja na thread inayohoji idadi au utekelezaji wa ujenzi wa viwanda ...ungeifanya hiyo kama ni hoja kuu halafu uone.

Kwa kufupisha ni kwamba CCM iliahidi viwanda kwenye ilani...na katika utekelezaji waziri aliwataka wakuu wa mikoa angalau waoneshe viwanda 100+ kwa kila mkoa...hii ni ahadi na inatekelezeka whether nikupe update ya kila mwezi au kila mwaka ...ila 2020 utanihukumu au kuihukumu CCM katika ahadi hii.

Hoja yako inataka kutuaminisha kuwa hakuna kiwanda kinachojengwa wakati hoja yangu ni kuwa vipo viwanda vingi vinavyojengwa ila hamtaki kuvisema.

Bado nakuahidi kuwa nitakupa update ya ujenzi wa viwanda nchini na ulinganisho nitakuletea idadi ya viwanda 2015 na 2020 ...Iam sure tutafikia double au treble the number of viwanda.

Kama kweli ni mfuatiliaji unaweza kujua idadi ya viwanda 2015 na idadi ya viwanda kwa sasa.
kama vimepungua au bado ni idadi ile ile nitaarifu na nitaacha kupost JF.

wewe kama mwanaJF mfuatiliaji wa ahadi ya viwanda nchini kwa nini hujaleta habari hii hapo chini kuhusu viwanda kama huna unafiki?
Unafiki wenu wa kutuletea drama ndio unaopumbaza wananchi wasiulizie kuhusu ahadi na utekelezaji wake...
Mwijage azindua kiwanda cha kwanza cha mita za luku Dar
 
Kwani sasa hivi tuna hitaji la internet kiasi hicho kweli? Mbona mitandao mingine inakidhi mahitaji ya Watanzania tena kwa bei nafuu? Anyway kwa sababu hatuna sauti walipa kodi acheni wenye mamlaka watuamulie maana tuliwaamini. Ila navyoona mimi siyo kipaumbele kwa sasa. Maana kuna mambo mengi sana has masuala ya afya na elimu.
 
Naona unataka kujikweza kwa kujijenga juu ya hoja za kizushi kama ilivyo kawaida yenu...nitakukumbushia kuhusu uzushi mmoja maarufu mliowahi kuuleta ...yaani Magufuli kakataza vyama vya siasa kufanya siasa wakati Rais alisema wazi tuache siasa na tuwatumikie wananchi kwa ajili ya maendeleo yao...mlimanipulate maneno ya Rais na akawakomesha vilivyo.
Kwa hiyo usijaribu kumanipulate hoja zangu ili ujijenge kwani hutaweza...Im so goood in details nafanya follow up ya maswali na maswala ya msingi katika nchi na kama unanifuatilia utakuwa umegundua hilo.

Kuhusu viwanda nimekuwa ni mmoja wa watu ninaoleta updates muhimu sana kuhusu ujenzi na ufufuaji wa viwanda though wewe na vibaraka wengine mmekuwa mkidhihaki na kutukana.

Kiukweli kuna viwanda vingi sana vinaemerge kiasi hata kuupdate inakuwa ni kero kwenu !

Kama kweli unafuatilia utaweza kugundua haipiti wiki tatu vipo viwanda vinavyofufuliwa na kuanzishwa.suala la viwanda ni nyeti na linahitaji kupewa attention na wote yaani CCM na upinzani.sijawahi kusikia Chadema ambao ni wanafiki wakiuliza au kuongelea viwanda kwenye press zao ...kwa nini?hii ni kwa sababu wanajua CCM inasonga mbele kwenye eneo hili.

Kama uko makini nilishawahi kuleta idadi ya viwanda vilivyoanzishwa especially mkoa wa pwani na nikampa hongera mkuu wa mkoa wa pwani.

Kama kweli unataka kufuatilia suala hili la viwanda ungekuja na thread inayohoji idadi au utekelezaji wa ujenzi wa viwanda ...ungeifanya hiyo kama ni hoja kuu halafu uone.

Kwa kufupisha ni kwamba CCM iliahidi viwanda kwenye ilani...na katika utekelezaji waziri aliwataka wakuu wa mikoa angalau waoneshe viwanda 100+ kwa kila mkoa...hii ni ahadi na inatekelezeka whether nikupe update ya kila mwezi au kila mwaka ...ila 2020 utanihukumu au kuihukumu CCM katika ahadi hii.

Hoja yako inataka kutuaminisha kuwa hakuna kiwanda kinachojengwa wakati hoja yangu ni kuwa vipo viwanda vingi vinavyojengwa ila hamtaki kuvisema.

Bado nakuahidi kuwa nitakupa update ya ujenzi wa viwanda nchini na ulinganisho nitakuletea idadi ya viwanda 2015 na 2020 ...Iam sure tutafikia double au treble the number of viwanda.

Kama kweli ni mfuatiliaji unaweza kujua idadi ya viwanda 2015 na idadi ya viwanda kwa sasa.
kama vimepungua au bado ni idadi ile ile nitaarifu na nitaacha kupost JF.

Kwanza ninashukuru sana kwamba umeingia pale nlipokuwa napataka, na sio leo tu, hata siku ile ni baada ya kuona uko serious na jambo hili na mimi nikasema hapa hapa. Ila naomba unitake radhi kwa kusema nataka kujijenga kupitia wewe, kwanza mimi sio mtu wa kujikweza na hata kama nataka kujikweza siwezi kujikweza kupitia kwako kwani huna umaarufu wowote nchi hii, labda utoke kwenye hii fake Id na uamue kuja na jina lako halisi. Kwahiyo kama unadhani una ujiko hapa jukwaani basi au ndani ya nchi hii basi umechemka. Ukiniweka hukumu ya makundi utashindwa kunitendea haki na utataka nijitetee kwa jambo ambalo sina msimamo huo hata kama ni mshabiki wa chama/kundi unalolituhumu.

Nimeweka wazi kwamba mimi sio mwanachama wa cdm, bali ni shabiki wa cdm wa kutupwa. Hivyo hapa sisimamii misimamo ya cdm au hoja zao, bali sehemu kubwa natumia utashi wangu kwenye maamuzi mbalimbali. Hilo la mikutano ni kweli rais alizuia kutokana na utaratibu uliokuwa huko nyuma na kwa mujibu wa katiba na vyama vya siasa, kama kuna upotoshaji uliofanywa na watu fulani au chama fulani, mimi sio muwakilishi wa chama chochote bali najiwaklisha mimi binafsi. Rais kuzuia vyama vya siasa kufanya siasa nchi nzima hiyo ni sheria ya rais ya utashi wake, na wala sio sheria zinavyotaka kwani kila chama kina haki ya kutafuta wanachama wapya. Hivyo katazo hilo la rais linafanya vyama visikue hasa sehemu visipo na wawakilishi. Hapa sitafuti ushindi wala sikulazimishi kukubali ninachosema lakini kwa hili rais hakufanya sawa wala kutenda haki na kufuata sheria. Kama rais alikataa na kutukomesha, sio kutukomesha kwa hoja na sheria bali ni kwa nguvu yake ya kuwa amiri jeshi mkuu. Kwangu hoja hii ni ya hoja ya nguvu na ushabiki wa kijinga.

Kuhusu updates ya viwanda, hapa naona unatumia nguvu kubwa kwani wangalau niko hapa jukwaani toka 2011 na nina wastani wa kuingia humu jukwaani sio chini ya siku 2-5 kwa wiki. Na kwa uhakika toka awamu hii imeingia humu jukwaani naingia so chini ya mara tano kwa wiki. Nina umakini wa kutosha, post yako ya mwisho kuhusu viwanda ilikuwa ni december au mwanzoni mwa january. Hili la kusema kwamba huwa unaleta updates mara kwa mara sio kweli, labda kama mimi sijui maana ya mara kwa mara. Sipingi kwamba kuna viwanda vinajengwa sana, bali nataka updates ya kila baada ya miezi wangalau mitatu, ndio maana bandiko lako la late december nilikubana kwamba ikifika mwezi march nipate wangalau taarifa ya awali ya hivyo viwanda. Jitahidi kushusha munkari ili usipoteze umakini. Mimi sio kiongozi wa cdm wala muwakilishi wa cdm, hivyo sipangi nini waongee kwenye press conference zao. Kwa hiyo usijifiche kwenye mgongo wa cdm ili kukwepa nini nahoji. Wewe kuniita kibaraka sio vibaya kwani inasaidia kushusha jazba yako. Na pia sio juu ya cdm kufuatilia maendeleo ya viwanda wala kuviongelea kwani sio ilani yao.

Kuhusu idadi ya viwanda, nataka nikuambie hakuna rasmi inayoonyesha idadi ya viwanda nchi hii kabla ya 2015 au baada ya hapo. Ila najua kuna debe linapigwa kwamba kwa sasa kuna viwanda vipya 3,000+ mkoa wa pwani, lakini nimewahi kuhoji mbona hatuoni picha ya hivyo viwanda, na kuna mdau mwingine aliwahi kupandisha jazba hapa nilipomuomba wangalau picha ya viwanda 10, na nikamsisitiza aseme hivyo viwanda viko eneo gani ili tukajionee. Bwana Paskali Mayalla naye nilimuomba akiwa kama muandishi nguli atupe updates au picha akiweza ya hivyo viwanda hapo pwani na vilipo ili tujionee wenyewe, naye aliishia kuguna. Nikushauri, acha jazba kwani hii ni mbinu ya mtu asiyejiamini katika utetezi wake. Naomba ikifika mwisho wa mwezi huu, niiandalie list ya viwanda mpaka sasa kwa kila mkoa na viko vingapi, wapi vilipo ili tukate mzizi wa fitina. Nadhani hili jambo ni rahisi sana, wewe una nguvu ya kudai kwa viongozi wa mkoa na wilaya kwani ni ilani yenu. Majibu ya jazba kwenye hili jambo hayatokubeba kabisa, bali ukweli tu. Na pia narudia tena, mimi ni mshabiki wa kutupwa wa cdm na wala sio kiongozi wala mwanachama wa cdm, hivyo unapojenga hoja na mimi jaribu kuwa makini na usijenge hoja za jumla jumla ili kukwepa maelezo sahihi.
 
tindo
Na wewe umejituliza pale ninapopataka siku zote!yaani kujadili hoja bila tusi na pia kuijadili serikali ya CCM kwa muktadha wa Ilani na ahadi zake.hili ni jambo kubwa lililokosekana kwa muda mrefu JF ,kwenye mitandao mingine ya kijamii,bungeni na kwenye press za kila wiki za chama unachoshabikia.

Hujakosea kuwa nipo serious katika suala la viwanda japo unatakiwa ujiongeze kwa kutambua kuwa nipo serious sana na mambo yote ninayopost au kuyajadili humu kwenye jamvi.Siwezi kukutaka radhi hadi pale utakapoacha rasmi na ushabiki wa chama chako ambacho kimekosa uelekeo na kuset agenda za kizushi na kipuuzi ambazo haziwasaidii wananchi na mustakabali wao.

siwezi kukutaka radhi hado pale utakapowaambia viongozi na wanachama wa chama unachokishabikia kuwa waache ulaghai na badala yake walete hoja nzito dhidi ya serikali kwa manufaa ya Taifa.ni muhimu kwako na kwa Taufa kuwafunza adabu hiyo!ninakuona kama unataka kujikweza kupitia mimi kwa sababu moja muhimu...

yaani kuleta hoja za kubabatiza ambazo zinajaribu kuelezea niliahidi hiki kumbe sikuwahi kufanya hivyo na yalikuwa ni matakwa na matarajio yako na mimi nitakuweka kwenye kundi la vibaraka na makarai ya Chadema kwa kuwa unaonesha the similar character ya viongozi na wanachama wa Chadema. Sielewi kwa nini na wewe unaingia kwenye mtego uleule kuwa mimi ninaleta hoja zangu kwa kuwa ni mwanaccm na sio mwanaJF...

Kuhusu Rais kukataza Siasa bado unaendelea kupitosha na ninafurahi Rais akisimama katika huo huo upotoshaji wenu kuwanyoosha.
Rais alisema wazi na clips ziko clear kuwa hataki siasa katika kutekeleza ahadi za wananchi na akawaasa wanasiasa wote iwe Chadema au CCM kuwa waache siasa na watekeleze ahadi zao kwa wananchi lakini walaghai wa chama unachoshabikia wakainteprate kuwa siasa ni marufuku. nikikuuliza kama una nukuu ya Rais kukataza siasa za vyama hutakuwa nayo na of course unaweza kuhukumiwa kwenda jela kwa uongo.Na Rais ana haki ya kisiasa ya kuwakomesha na misinterpretation yenu ya neno lake.

Ninakushangaa sana unaposema sileti updates za mara kwa mara humu jamvini halafu hapo hapi unakiri kuwa december 2017 na january 2018 nimekuletea upadates!!!!

bado nitakuita kibaraka wa CDM kwa kuwa unataka kuupotosha umma kuhusu mambo mengi pengine kwa ukinyonga wako wa uandishi dhidi ya Serikali kwa manufaa ya CDM ...yaani unaandika bila lile jazba la makarai ya CDM but kwa sisi tunaokusoma between lines tunakuelewa kuwa wewe ni walewale tu!

Kuhusu idadi ya viwanda inabidi uwe honest na ukubali pindi unapoambiwa kuwa viwanda kadhaa vimejengwa unless unataka kuendelea kuwa mpingaji usiye na data.

Kama una data kuwa viwanda vinapungua ilete jamvini.
 
Back
Top Bottom