Laki moja ni kubwa sana kwa Watanzania walio wengi100k unlimited internet ni kubwa?
Sawa kamanda haina nouma 26/04 tuwe pa1Naamini hawatabagua
[emoji1] [emoji1]Wakimaliza huko Mikocheni na Mbezi Beach wasitusahau na huku Mbagala kingugi! Hata sisi tunahitaji laki kitu gani bwana.
After soo many years.maji yanawashinda internet mtaweza?huko mbagala, mtoni, kimara na kwingine hawajui mambo ya bomba na mmeshindwa kisha mnaleta ngonjera za internet hapa.Kama vile unakasirikia maendeleo?
Hahaaaa... Wewe jamaa huwa unanifurahisha hivi lumumba wanakupa shilingi unipigie mchongo man..Nenda utenguliwe maini...Dola hii haitaki ujinga!
Ndiyo maana wanaanza kwenye specified areas.Laki moja ni kubwa sana kwa Watanzania walio wengi
Kupitia huduma hiyo mteja atapata intaneti ya kasi isiyo na ukomo kwa gharama ya kuanzia Sh100,000 hadi Sh200,000 kwa mwezi
Mbona wameweka wazi kuwa wanaanzia mikocheni!Hiyo waseme ni kwa watanzania wa hali ya juu tu
Basi wasije kuchimba mashimo uswahilini kwetu kwa huduma ambayo hatutaweza kulipiaMbona wameweka wazi kuwa wanaanzia mikocheni!