toa umbeya wako hapa nani kakwambia hakuna haja ya king'amuzi?Unajua maana ya internet yenye kasi isiyo na kikomo? Maana yake kutakuwa hamna haja ya king'amuzi
nazungumzia kwa ujumla kwani hali za watanzania si zinajulikana? au unakula na kulala kwa shemeji yako nini wewe.Kama Mimi na wewe hatuwezi wapi wenye hela zao watalipia mkuu, usijivishe ujumla wa watanzania wote.
nilichopenda kwenye thread hii ni mawazo huru na yasiyo na matusi.kwenye gharama naungana na wewe kuwa hizo ni gharama kubwa ukulinganisha na aina ya watumiaji active wa mitandao...naona kama gharama zimewalenga mapedeshee na sio kundi kubwa la vijana wanaotumia internetokay Ni wazo zuri but wangefikiria hiyo bei.chukulia kwa 100,000 au 200,000 unapata wateja 100,000 lakini ukishusha bei utapata watu million mbili targets zinakua zimetimia.Pia walete mfumo wa WiFi Ili iweze kuwafikia watu wengi Na wafanye internet kua Ni kitu cha kawaida sana
Mkuu tindo kama wanachadema wote wangeweza kufuatilia utekelezaji wa ahadi za CCM kama unabyofanya japo kwa asilimia 25% tu basi Taifa lingekuwa mbali sana.
Tatizo ni kwamba wanachadema kupitia viobgozi wenu wanatengeneza drama zinazotuondoa katika kuangalia utekelezwaji wa ahadi za CCM.
Nina mfano wa uzinduzi wa kiwanda cha LUKU Dar uliofanyika hivi majuzi japo mnajidai hamkusikia.
Things are moving very fast ...na ikifika 2020 Utaona takwimu nzito za utekelezaji wa ahadi za CCM.
STAY TUNED Make a follow up and tell your party to make reviews on how the goverment is performing.
Waeleze kina mbowe waache kuondoa hoja za msingi zinazowagusa wananchi na kusaka kiki.
Kama mna matumbo(guts) leteni hoja kuhusu ahadi za CCM tuwe tubawagaragaza.
Kabisa mawasaliano ya kisasa kwa watzndio jukwaa langu na pia ukumbuke kuwa hii ni sehemi ya utekelezaji wa Ilani ya CCM
Mmezoe kulalamikia kila kitu mnadhani hapa ni mbinguni, nikushauri fresh tu kuwa, tukishindwa mie na weye kumudu gharama wapo wenye fedha zao watamudu, wewe umezoea bando la chuo huwezi.nazungumzia kwa ujumla kwani hali za watanzania si zinajulikana? au unakula na kulala kwa shemeji yako nini wewe.
hapa Nina ya kwako tu..buku mbili,GB 5 mwezi...nakodoa mtandaoni had macho yanavimba na mwezi unaishaHata mimi naona bei ni kama kubwa hivi....!
Nadhani ni eneo wanalotakiwa kulifanyia kazi
Mkuu yupo msemaji halali katika sekta ya viwanda kwa nini unasisitiza mimi ndio nikuletee?hivi kuna sehemu specifically nilikuahidi kuwa mwezi wa tatu nitakuleta updates za ujenzi wa Viwanda?Mkuu mimi sio msemaji wa cdm wala mwanachama wa cdm. Mimi ni mshabiki wa kutupwa wa cdm. Badala ya maneno mengi ni vyema ukajiandaa na hilo ombi langu kwani nimelianza na wewe toka December baada ya wewe kutoa angalizo kwa wakuu wa mikoa na wilaya kuhusu viwanda 100 kila mkoa, ili ujue wewe na chama chako kwamba kuna watu makini tunafuatilia ahadi zenu. Na mfano ndio pale juu nilipokutajia ahadi zilizoota mbawa. Mimi ni mtu makini, najua kuna ahadi za viwanda 100 kila mkoa na vimetakiwa kuanza mapema, kwenye viwanda hivyo 100 ninajua kuna kufufua vilivyokufa na vipya, ila idadi inapaswa kuwa 100. Kwa hiyo ninapokuomba taarifa ya awali ninajua ninachomaanisha. Nasisitiza hao wakuu wa mikoa wanapaswa kukuambia hivyo viwanda vilipo ili tufuatilie wenyewe kwa macho yetu.
Mkuu, hii ni unlimited internet unaunganisha kwenye smart TV, TV Box, decoder, laptop, unatumia WiFi, yaaLaki moja ni kubwa sana kwa Watanzania walio wengi