TTCL kusambaza huduma ya internet majumbani

TTCL kusambaza huduma ya internet majumbani

Waniache kabisa na upumbavu huu.

Naona bora ya zamani kuliko hivi mfano mfupi ni juu ya Barabara. Zamani barabra za vumbi lakini tulikuwa tunasafiri muda mwingi.
Wmejenga barabara muda wa kutumia barabaran umezidi hapo zamani japo miundombiu mizuri.

Turudi kwa TTCL, wakifanya hivyo tu, Facebook, Twitter, JamiiForums, whatsup zote fungiliwa mbali. Watuache na matatizo yetu ya kuungaunga tumeyazoea
Umeonaeeeeeeee?
 
CONNECT THE DOT WHY LEO WAMESIKIA KUNA MAANDAMANO WANADHANI TUTAJIYNGA HRAKA ILI WATULATIE HAAAA
 
Yanini wakati hata simu ya mchina hakuna?

Kichekesho ni kwamba fiber connect ya gharama nafuu kati ya TZS 100,000 hadi TZS 200,000 kwa mwezi? Have you done research how many can afford tena majumbani? Ungesema unalenga Taasisi na kampuni kubwa it could make somebody even read the proposal. Can you demonstrate a business case? The CEO is kidding bei nafuu ? Over my dead body? Huo ni ufisadi how many households in Mikocheni , Mbezi require that service ? Huo ndio ubunifu wa New TTCL hadi imebadilishwa jina. Eti anomba serikali iwapatie fedha ? Are you serious? There is private capital kama huo mradi has been researched and bankable why don’t you mobilize private project financing and roll out. Wajameni how do you seek funds from the already burdened Exchequer hata kulipa madeni yaLAPF , PSPF na NSSF wameshindwa on top of failing kulipa madai ya walimu na makandarasi waliotoa huduma? Ask yourself kelele za kutumia JKT , Jeshi la wananchi na TBA na hata TAMESA ni kushindwa kulipa madeni ya ndani and you still dream of state owned corporations hata simu na ndege wakati sekta binafsi is capable of doing that tena kwa gharama nafuu! Halotel ya Mzaramo imesambaa almost nchi nzima tena Rural je walipewa fedha na Serikali ?Hizi gharama za simu kama sio akili za kufilisika za watendaji wa serikali kuzifanya chanzo cha mapato kwa tozo from left and right. Hatuna maji mjini Dar hata kusambaza Gesi asilia iliyopo Kinyerezi hatuwezi and this fools require GOT financing kwa ajili ya fiba! Huu ni ujinga wa kuteua watu kuwa Watendaji Wakuu kwa sababu za kisiasa bila a business knowledge ? Wachiwe sekta binafsi after al TCRA yupo what is the roll of TTCL in the current landscape ?
 
Siku bwana Juma akitoka madarakani ndio haya madude yanakufa. Hizo pesa si wanunue masmart phone wayagawe kwa mkopo kuongeza idadi ya watumia interne.
Dunia ya leo haitaji kuunganishwa na wire.
 
Mkuu mleta mada hongera kwa kuleta hii habari njema kutoka kwenye Shirika letu la mawasiliano. Napenda tu kukutaarifu kwamba kwasasa kuna kitu kinaitwa TANZANIA COMMUNICATIONS CORPORATION kwa kifupi (TCC) Ila kutokana na vichwani wa watu hiyo TCC itakuwa ngumu kwao kulielewa au ku endana na jina jipya basi kwasasa itajulikana kama TTCL-CORPORATION. Herufi TTCL zitabaki tu kama zilivyobaki CRDB bila kuwa na maana halisi ya awali.
 
Hata mimi naona bei ni kama kubwa hivi....!
Nadhani ni eneo wanalotakiwa kulifanyia kazi
Nisichokielewa hapa kilichokuwa kikitajwa kirahisirahisi kuhusu bei na Kindamba ni kitu gani hasa!
Maana nilisikia kama anataja neno 'pack', yaani package ama kifurushi!
Hiyo laki ama laki mbili ni za kuunganishiwa internet isiyo na ukomo wa muda, ama ni internet isiyo na ukomo wa kasi, lakini ni kifurushi cha mwezi kama ilivyo kwa ving'amuzi vya Tvs?
Kama jibu litakuwa katika optn2 kwamba ni kifurushi cha mwezi, waTz tumekuwa na hela kiasi gani cha kutajwa laki kiurahisi namna hiyo? Eti 'laki moja tu'! Aaaarrrrrrh!
 
Too little too late. Advantage ya cable over wireless kwa consumers imepotea. Siku hizi mobile broadband ina capacity kubwa kuliko ADSL. Technology waits for no one to catch up.

Tunaoona mbali tulishajaribu ku convince TTCL wapige FTTC Masaki nzima miaka ya 2010s, wakati huo mobile broadband ilikuwa haiwezi kushindana na cable. Walikataa wakati huo ambapo ingeleta tofauti na badala yake wakan'gan'ana na CDMA network iliyokuwa inagharimu kiasi kikubwa kuliko ilichokuwa inaingiza.

Leo hii hakuna domestic user atayeingia gharama ya kujenga FTTH na kulipia laki mbili kwa mwezi kipata kitu ambacho anaweza kupata kupitia mobile broadband kwagharama ya TZS 40,000 tu kwa mwezi.

Labda niwashauri TTCL wajikite kuwa a true carrier of carriers na wafanye hivyo kwa dhati kamili. Bado kuna wilaya nyingi hazina broadband kwenye mobile. Unapita wilaya kubwa kama Puge kule Tabora, unakutana na Edge network tu kwa sababu ya capacity constraints ambazo TTCL ingeweza kusaidia kwa ku provide backhaul ya kutosha kwa akina voda na tigo. Huku kwenye consumer market TTCL hawatweza tena. Hiyo TZS 44B, si kitu chochote mbele ya akina vodacom na tigo
 
Internet ya laki?...mi kwangu siihitaji ntaendelea kukomaa na hizi hizi
 
Back
Top Bottom