TTCL kusambaza huduma ya internet majumbani

TTCL kusambaza huduma ya internet majumbani

Waniache kabisa na upumbavu huu.

Naona bora ya zamani kuliko hivi mfano mfupi ni juu ya Barabara. Zamani barabra za vumbi lakini tulikuwa tunasafiri muda mwingi.
Wmejenga barabara muda wa kutumia barabaran umezidi hapo zamani japo miundombiu mizuri.

Turudi kwa TTCL, wakifanya hivyo tu, Facebook, Twitter, JamiiForums, whatsup zote fungiliwa mbali. Watuache na matatizo yetu ya kuungaunga tumeyazoea
Zifungwe kwa sababu zipi? Fafanua vizuri inaonekana we ni conservative sana hutaki maendeleo.
 
Mipango nan Mikakati mingi lakini utekelezaji hewa
 
Naona mnaandaa mazingira bora ya kumpeleka mange kimambi huko naliende ndani ndani
 
Tufungieni tu, uzuri ni kwamba gharama zenu zilivyokubwa hatutanunua bandle baadaye nyie wenyewe mtaazisha vifurushi vya fiber vya bukubuku, wajinga kabisa nyie, mnawatageti matajiri wakati watumiaji wengi ni maskini au wale wenye vipato vya chini
 
Kama vile unakasirikia maendeleo?

Unakuja mbio kama vile ahadi ni ktu cha ajabu ndani ya serekali ya ccm. Ukija hapa ukumbuke kuna ahadi ya 50m@kijiji na bado haijatekelezwa. Tuliahidiwa kwamba gas ikifika Dar itasambazwa majumbani, lakini hii leo wala hakuna anayethubutu kuongelea hilo. Hivyo ukija hapa jukwaani uwe makini.

NB: Nje ya mada, tulikubaliana ikifika mwisho wa mwezi wa tatu utaleta maendeleo ya ujenzi wa viwanda kila mkoa na mahali hivyo viwanda vilipo kila mkoa ili tukajionee wenyewe. Kumbuka ni viwanda 100 kila mkoa. Nakukumbusha huu ni mwisho wa mwezi wa pili. Hakikisha unaanza kukusanya taarifa hizo za awali kwa wakuu wa wilaya na mikoa kwani kuna watu makini tunafuatilia. Hapa ndio tutaanza kujua mwelekeo halisi wa awamu hii ya tano.
 
Ngoja tuone maana kuna mmoja naye alikuja na mbwembwe nyingi saizi hamna kitu kalemewa na user wengi
 
Mbwembwe tu, litapumulia mashine soon, tusubiri muda utasema
 
Waniache kabisa na upumbavu huu.

Naona bora ya zamani kuliko hivi mfano mfupi ni juu ya Barabara. Zamani barabra za vumbi lakini tulikuwa tunasafiri muda mwingi.
Wmejenga barabara muda wa kutumia barabaran umezidi hapo zamani japo miundombiu mizuri.

Turudi kwa TTCL, wakifanya hivyo tu, Facebook, Twitter, JamiiForums, whatsup zote fungiliwa mbali. Watuache na matatizo yetu ya kuungaunga tumeyazoea
Hawatakukataza wewe kuendelea na mafacebook yako! Wanaopenda TTCL waachwe wajiunge na shirika hilo....wanaopenda kuendelea na mapebari hao wenyewe ushirika na Facebook nao wapewe uhuru.
 
ni ngumu kufanikisha hili,lakini likifanikiwa kwa mpango huo wa unlimited kwa laki moja kwa mwezi ni wazi makampuni ya simu yatakufa-maana sa hivi makampuni ya simu yanauza internet kuzidi muda wa maongezi
 
Mtizamo wangu ni moja ya njia ya kuliua shirika hili tukumbuke kiasi hicho ndio mfanyakazi wa umma anapata kwa mwezi.

Ttcl isitubague kwa kufanya hivyo wanamaanisha sehemu tajwa ndio walipaji wa Kodi. Kumbe watu hao wengi nyumba zao ndio MAKABULI YA MASHIRIKA YA UMMA. na wengi maji na umeme hawalipi wameunga kimagumashi tu
 
Huu mtandao hauwaelewi watanzania.. sidhani kama utafanikiwa kwa gharama ya laki 1 nakuendelea mnasema bei nafuu!.. hili tu linatosha kuwabainisha kuwa ni wa gharama.
chengine hawajaranda nchi nzima wanakimbilia tambo ya kumi wkt kuna watu hata vocha zao sijui zinafananaje!
that is what i can say about ttcl.
 
Unakuja mbio kama vile ahadi ni ktu cha ajabu ndani ya serekali ya ccm. Ukija hapa ukumbuke kuna ahadi ya 50m@kijiji na bado haijatekelezwa. Tuliahidiwa kwamba gas ikifika Dar itasambazwa majumbani, lakini hii leo wala hakuna anayethubutu kuongelea hilo. Hivyo ukija hapa jukwaani uwe makini.

NB: Nje ya mada, tulikubaliana ikifika mwisho wa mwezi wa tatu utaleta maendeleo ya ujenzi wa viwanda kila mkoa na mahali hivyo viwanda vilipo kila mkoa ili tukajionee wenyewe. Kumbuka ni viwanda 100 kila mkoa. Nakukumbusha huu ni mwisho wa mwezi wa pili. Hakikisha unaanza kukusanya taarifa hizo za awali kwa wakuu wa wilaya na mikoa kwani kuna watu makini tunafuatilia. Hapa ndio tutaanza kujua mwelekeo halisi wa awamu hii ya tano.
Mkuu tindo kama wanachadema wote wangeweza kufuatilia utekelezaji wa ahadi za CCM kama unabyofanya japo kwa asilimia 25% tu basi Taifa lingekuwa mbali sana.
Tatizo ni kwamba wanachadema kupitia viobgozi wenu wanatengeneza drama zinazotuondoa katika kuangalia utekelezwaji wa ahadi za CCM.
Nina mfano wa uzinduzi wa kiwanda cha LUKU Dar uliofanyika hivi majuzi japo mnajidai hamkusikia.

Things are moving very fast ...na ikifika 2020 Utaona takwimu nzito za utekelezaji wa ahadi za CCM.

STAY TUNED Make a follow up and tell your party to make reviews on how the goverment is performing.
Waeleze kina mbowe waache kuondoa hoja za msingi zinazowagusa wananchi na kusaka kiki.

Kama mna matumbo(guts) leteni hoja kuhusu ahadi za CCM tuwe tubawagaragaza.
 
Kama vile unakasirikia maendeleo?
All those are RUBBISH if HUMAN RIGHTS are violated, for what ma internet! , tupa kule takataka. We need freedom, freedom , freedom!
“I Cry For Freedom” - Yvonne Chaka Chaka
 
Wangeboresha kwanza coverage then ndio waendelee na hii mipango mizuri. Bila coverage ya maana hata wawe na huduma vigumu kupata stake kubwa ya wateja.
 
Huu mtandao hauwaelewi watanzania.. sidhani kama utafanikiwa kwa gharama ya laki 1 nakuendelea mnasema bei nafuu!.. hili tu linatosha kuwabainisha kuwa ni wa gharama.
chengine hawajaranda nchi nzima wanakimbilia tambo ya kumi wkt kuna watu hata vocha zao sijui zinafananaje!
that is what i can say about ttcl.
nakubaliana na 2ewe kuwa wanapaswa pia kuhakikisha TTCL mobile inakuwa vilivyo kabla ya kutueleza mipango mipya.
 
Ushindani utakuwepo mkubwa sana...

Sasa hivi kuna Simba, Raha, Voda, Zuku na wengineo...

TTCL nao wakija itakua poa...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom