Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,253
Huwezi banaWeka picha
Watu waile hyo mln 700
Ova
Huwezi banaWeka picha
Watu waile hyo mln 700
Ova
Unawakusanya wa kutosha.. Yaani unampeleka wa kwanza, akiwa siyo yeye unaendelea na SAKO LA NYANI mpaka akamatwe..!! Chezea 700M wewe..!!Wanavofanana hao viumbe si itakuwa kasheshe
Kuweka picha ya marehemu haijasaidia idara ya upeleleziFamilia ya Fu Nannan ambaye ni raia wa China aliyeuawa Juni 11, 2022, kwa kupigwa risasi nyumbani kwake Ilala Jijini Dar es Salaam na Mchina mwenzie aitwaye Zheng Lingyao, imeahidi dau la Shilingi Milioni 700 kwa atakayefanikisha kupatikana kwa mtuhiwa huyo.
Fu Nannan, aliuawa kwa risasi wakati akiamua ugomvi kati ya mwanamke aitwaye Nie Mnqin, ambaye inadaiwa aliwahi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtuhumiwa, na mwili wake umezikwa leo Juni 26, 2022, Mikocheni Dar es Salaam.
Wafanyakazi na wakazi wa Kitongoji cha Madodo, Mkuranga kilipo kiwanda cha marehemu wamesema mbali na fursa za ajira walizozipata marehemu amekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii hiyo.
Source: EATV
Na wao wanatuona sisi tumefanana kama madodoki vileMkuu bora kaa kmya tu usijepewa kesi ya kumchafua mtu..
Hawa jamaa sijui ni viumbe gani wanafanana kinyama..cha ajabu wanadamu kali kwa waafrika..mtoto lazima afanane na wao tu
@Mshana Jr alileta huo uzi baada ya hili tukio kutokeaMshana Jr nadhan anaweza wasaidia. Alileta uzi juu ya wachina wanakuja bongo kuwekeza kwenye umalaya.
Waigawe vipi kwa masikini mkuu,je itatosha?Kwa nini hiyo hela wasiigawe kwa maskini wa tizedi?
Huyo mwamba hawezi kamatwa kizembe na watu ambao hawawezi hata kukamata panyaroad
umeniwai nilitaka kusema hili jambo na wao wanatuona sisi tunafanana sana.
Utawafanya nini wakikuua?Sasa ole wao nimpate halafu wakishanipa hizo million mia saba waniue
Masikini ni wangapi na watapata tsh.ngapi kila mmoja? Hata hivyo ni kazi ya serikali hiyo si ya wachina.Kwa nini hiyo hela wasiigawe kwa maskini wa tizedi?
Huyo mwamba hawezi kamatwa kizembe na watu ambao hawawezi hata kukamata panyaroad
Mshana Jr unaitwa. huku kuna million 700Mshana Jr nadhan anaweza wasaidia. Alileta uzi juu ya wachina wanakuja bongo kuwekeza kwenye umalaya.
Kila mmoja apeleke wa kwake halafu wao ndio watakaochambua.Wanavofanana hao viumbe si itakuwa kasheshe
Naomba mawasiliano namna ya kuipata hio familia iliyotangaza dau la milioni mia saba.Familia ya Fu Nannan ambaye ni raia wa China aliyeuawa Juni 11, 2022, kwa kupigwa risasi nyumbani kwake Ilala Jijini Dar es Salaam na Mchina mwenzie aitwaye Zheng Lingyao, imeahidi dau la Shilingi Milioni 700 kwa atakayefanikisha kupatikana kwa mtuhiwa huyo.
Fu Nannan, aliuawa kwa risasi wakati akiamua ugomvi kati ya mwanamke aitwaye Nie Mnqin, ambaye inadaiwa aliwahi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtuhumiwa, na mwili wake umezikwa leo Juni 26, 2022, Mikocheni Dar es Salaam.
Wafanyakazi na wakazi wa Kitongoji cha Madodo, Mkuranga kilipo kiwanda cha marehemu wamesema mbali na fursa za ajira walizozipata marehemu amekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii hiyo.
Source: EATV