Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
-
- #281
ha haaa, hivi vituko vipo vya kumwaga.....Hiyo kali loh....lazima fimbo zitembee.
Kuna iliyotokeaga mzee kaaga nyumbani anaenda safari mkoa jirani kikazi, mama kamfungashia mumewe vizuri...kakunja goti kaenda mpitia mapango wake wa kando wameishia segera...wamekula raha zao weeeeee....wanarudi sasa watafute gest wajifiche hadi siku za semina alizondanganya ziishe....katikati hapo ajali.....kimada dead hapo hapo...m babano mguu wa kulia noo mguu wa kushoto....mama anapiwa simu njoo mumeo yuko desh desh hospit.....
Aduwaa.....si nieagwa mimi toka alfajiri mtu kaenda semina....iweje iweje? Kufika hospital mumewe.....
ha haaa, hivi vituko vipo vya kumwaga.....
kuna nyingine...... aaaahhh!
naona uvivu kuhadithia, lol!
najua pa kumkamatia..... siku ntamwambia tumwage birth certificate hadharani.......Tar tibu tar tibu mamie....wakati utafika uatakuwa dear....kwani vyachelewa....babu lazima asikubali sbb he knows you quality loh
najua lazima tuwe na mashahidi ili mjadala usije kuendelea.....
nimekuchagua kuwa shahidi wangu.... mbona babu ana kazi?
hapo kwenye puuuuuuuuuuu, mi namalizia MBAAAAAAKS!babu shkamoo! mimi mtu kama huyo hata kuishi naye naona tabu sana! anaweza kukudanganya sanaaaaa, mpaka siku akikuambia ukweli, utahisi labda ni ile hulka yake imekomaa, jamani jamani TUPUNGUZE UONGOOOOOOO! MTU UNAKUWA MUONGOOOOOOOO, utasikia mimi nakaa kwenye bonge la ghorofa mbezi baharini, umepata mgonjwa ghafla, tumekuja kwako, kumbe unakaa kwenye kota za polisi! jamaniiiiiiiiiiiiiiiii! puuuuuuuuuuuuu!
kumbe wewe denti best?
sasa midevu hiyo ya nini? au ndo uongo wenyewe unauanzia hapa JF kwa kutuonyesha kuwa mzee? ha haaa
cc. Lady doctor, Passion Lady, charminglady, King'asti, Smile, KOKUTONA, amu......
jamani kuna aliyenionea Nyamayao? nimemmissije sasa hapa kumwaga maujuzi yake!
daaaa hata anaye uliza swali kama hili lazima anategemea kudanganywa.
ha haaa, ndo maana sikutaka kabisa kuzungumzia uongo kuhusu mipango ya kando..... kwenye hilo, wooooteeeee tunasema uongo. siwezi kubali kwa mpenzi wangu kuwa nina mpango wa kando, labda anikamate, lol!
....... Mimi hapa ndipo nsipoelewa. Mtu kama anathamni mahusiano yake na kumjali mpenzi wake kama kuna mabadiliko ya ratiba kuna ugumu gani kumweleza?? Eh pengine ndio maana mimi huambiwa ninajiexpress sana................... and may be am dating the wrong men. Honestly sielewi. Yaani nikimweleza mtu ratiba yangu anaona kama am feeding him too much of unnecessary information!!! Labda nianze kudate hawa wa JF ambao wanaonekana kidogo ni waelewa!!:angry:ha haaa, ni kweli kuna wanaotengeneza hadithi za kufikirika ili tu mwenzie ajisikie haaminiwi.
lakini mf. namwambia mtu naenda salon na anakuamini kabisa, nakaa huko masaa matatu au zaidi halafu narudi na kichwa kama kilivyoenda, hakuna badiliko, unatengeneza mazingira gani? kulikuwa na foleni kubwa, mbona hukurudi baada ya nusu saa? umepoteza masaa matatu then hujafanya lolote bado unataka mtu aamini kuwa ulikuwa salon? kama ulikuta foleni hapo salon na ukaamua ufanye misele mingine kwa nini usimpigie mwenzio na kumwambia salon kumeshindokana sasa nimeamua nikapite hosp nikaone wagonjwa?
unarudi umechelewa, hujafanya ulichosema waenda kukifanya, unasubiri uulizwe ndo utoe hadithi?
asante kwa kujali rafiki.... uliona nilisepa nadhani hata kabla sijaiona hii post yako....Inatosha kwa leo Kisura @FP....usiku mwema ulale unono na njozi njema.....lol! hahahahahahah utajijuuuuu :majani7::majani7::majani7:
ha haaa, sasa usipowasifia dada zako utamsifia nani? hao wa kukudanganya? au mwenzetu wapenda sana kudanganywa mwili na roho?
ha haa, hapo mimi pia nipo guilty, sijawahi taja umri wangu wa kikweli lakini kwa wale ambao hawana tija......Swali hili na "uko wapi?" nalo lafuatia kwa kuproduce majibu ya uongo.
Halafu kuna la umri pia, hili nalo linawakumba wengi sana, lakini tija yake sijaijua mpaka leo. Mtu anapunguza 4 years ya umri wake halisi ukijiuliza kweli umri utapungua kiukwelii jibu ni hapana, so if s/he is not comfortable about his/her age kwa kudanganya anafanikiwa pia kujidanganya mwenyewe??????