Trump Meets With National Security Team Amid North Korea Crisis

Trump Meets With National Security Team Amid North Korea Crisis

Marekani wakisema wanakwenda vitani basi ujue tayari wameshaamua kuwa wanakwenda vitani, maneno ya mikwara hufuata nyuma ili kumtisha adui wanayekwenda kumvamia ili asalimu amri mapema ili nguvu kubwa isitumike kumuangamiza.

Ndani ya wiki chache zijazo, kichapo kitaanza kushushwa kwa Korea Kaskazini.
 
Hakuna cha vita ya tatu wala nini. North Korea itapigwa vibaya na Kim atakimbizwa mazima na dunia nzima itabakia kuangalia na kumpongeza Trump.
Sioni nafasi ya China au Russia kujiingiza moja kwa moja kwenye vita hii ili kumsaidia North Korea. Kim ana maneno tu, hana jeuri ya kiuchumi wala kisiasa duniani. Ana mbwembwe na mikwara tu.

Ninachoombea tu vita usitokee, Kim atangaze kusalimu amri na kupotea zake kimya kimya.

Yule bila kupigwa sidhani kama atasalimu amri, ila na yeye mikwara imezidi sana
 
NK atapigwa vibaya sana na wala hatarusha kombora hata moja! Kiduku anatembelea kiburi cha China sasa hivi. Kupigwa kwa NK ni aibu kwa China maana China ndio iliyomuuzia teknolojia Kim, teknolojia ambayo China alichukua US na kui develop kidogo!

So hayo makombora ya Kim US inayajua nje ndani..na ndio maana kuna waliyojaribu kuya launch yakashindwa Ku hit target! Ubabe wa sasa hivi sio lundo la silaha, mbabe wa sasa hivi ni bingwa wa cyber attacks.

NK wako very vulnerable kwa US, wamepandikiza malware's huko so Kim anachokozwa tu ili ajitutumue virus waendelee kusambaa na kutafuna hadi silaha ya mwisho.

Kuna kikundi cha cyber ops na malicious malware za Konni na Inexsmar ambazo zipo NK toka miaka mitatu nyuma. Trump akitia mguu pale Kim hana cha kufanya.

Sent from my Device.
 
Marekani wakisema wanakwenda vitani basi ujue tayari wameshaamua kuwa wanakwenda vitani, maneno ya mikwara hufuata nyuma ili kumtisha adui wanayekwenda kumvamia ili asalimu amri mapema ili nguvu kubwa isitumike kumuangamiza.
Ndani ya wiki chache zijazo, kichapo kitaanza kushushwa kwa Korea Kaskazini.

Yule bila kupigwa sidhani kama atasalimu amri, ila na yeye mikwara imezidi sana


Kitu kingine, hawa wawili wamekutana haswa.
Hii back and forth ya maneno between Pyongyang and Washington mpaka kufikia Kim kupanga mpaka muda wa kushambulia American soil sidhani ilikuwa hivi sana kwa Marais waliopita.

Unashindwa kuelewa kama Kim anamaanisha kweli ama anamjaribu tu Fyatu mwenzake.
Lakini anaweza kusababisha watumie hiyo Extended Deterrence kumzuia na hiyo Nuke program yake.
 
Kitu kingine, hawa wawili wamekutana haswa.
Hii back and forth ya maneno between Pyongyang and Washington mpaka kufikia Kim kupanga mpaka muda wa kushambulia American soil sidhani ilikuwa hivi sana kwa Marais waliopita.

Unashindwa kuelewa kama Kim anamaanisha kweli ama anamjaribu tu Fyatu mwenzake.
Lakini anaweza kusababisha watumie hiyo Extended Deterrence kumzuia na hiyo Nuke program yake.
Kumbe umesha gundua Trump ni fyatu !!!
 
[emoji1] ..Ngoja awachape ndo muelewe tofauti yake na huyo kiduku wenu..[emoji2]
Sisi tupo wazi hatuwezi jadiliana na mtu aliyechanganyikiwa kama TRUMP dawa yake ni kumpiga tu !!!
 
Sisi tupo wazi hatuwezi jadiliana na mtu aliyechanganyikiwa kama TRUMP dawa yake ni kumpiga tu !!!


Unaona jinsi Mjapan anavyoanza kujiandaa, nyie sijui kama mnazo hizi.

"The defense ministry started deploying the Patriot Advanced Capability-3 (PAC-3) system in Shimane, Hiroshima and Kochi in western Japan, which Pyongyang warned could be along its missiles’ flight path to Guam, public broadcaster NHK said.."
Television footage showed military vehicles carrying launchers and other equipment for the surface-to-air system entering a Japanese base in Kochi before dawn..
 
Unaona jinsi Mjapan anavyoanza kujiandaa, nyie sijui kama mnazo hizi.

"The defense ministry started deploying the Patriot Advanced Capability-3 (PAC-3) system in Shimane, Hiroshima and Kochi in western Japan, which Pyongyang warned could be along its missiles’ flight path to Guam, public broadcaster NHK said.."
Television footage showed military vehicles carrying launchers and other equipment for the surface-to-air system entering a Japanese base in Kochi before dawn..
Hayatafanya kazi hayo tutayachanganya kombora likiwa 10km yatasoma 1000km ni mahesabu tu tumecheza nayo!!!
 
We waon
Hayatafanya kazi hayo tutayachanganya kombora likiwa 10km yatasoma 1000km ni mahesabu tu tumecheza nayo!!!
Soon mtapoteana humu pale mwenye dunia yake atakapoaanza kumtia mtu adabu
 
We waon

Soon mtapoteana humu pale mwenye dunia yake atakapoaanza kumtia mtu adabu
Kuna watu huwa wana lala na nyoka mkuu pia kunanyoka huwa wana wafanyia watu massage !!!
Wanadhubutu baada ya kujua jinsi ya kuwatuliza hao nyoka!!
Simba naye huwa anachezewa sharubu !!
 
Ni wakati muafaka wa ku test technology mpya za kivita duniani..
 
Hayatafanya kazi hayo tutayachanganya kombora likiwa 10km yatasoma 1000km ni mahesabu tu tumecheza nayo!!!


Haya bhana, tunasubiri mrushe hata kokoto tu Guam muone mziki wa mawigi. Na hivi ambavyo sasa hataki tena longolongo.
Umeona juzi boss alivyoongea na Xi, halafu leo Xi kapiga ule mkwara wa Trade?!
Na bado, mtakula jeuri yenyuu!...
 
Haya bhana, tunasubiri mrushe hata kokoto tu Guam muone mziki wa mawigi. Na hivi ambavyo sasa hataki tena longolongo.
Umeona juzi boss alivyoongea na Xi, halafu leo Xi kapiga ule mkwara wa Trade?!
Na bado, mtakula jeuri yenyuu!...
Unaweza mdanganya mtu yoyote duniani ila siyo mchina mchina atakudanya yeye iwe unapenda au hupendi!!!
 
Unaweza mdanganya mtu yoyote duniani ila siyo mchina mchina atakudanya yeye iwe unapenda au hupendi!!!


Mh!, Fundi lakini jamaa wana akili bwana, wazee wa fursa wale hawadanganyi popote, sehemu yenye ulaji wanatulia na wanatuliza akili.
 
Back
Top Bottom