Rais wa Merikani anapaswa ku-behave kistaarabu na sio kama jambazi, kauli zake azipime kabla ya kuzitamka in Public- naona yeye anachukulia kila kitu kimzaa mzaa/maigizo, kama anafikiri ana blank cheque ya kushambulia Korea Kasikazini kwa nini atake kufanya wazungumzo na Rais wa Uchina kwanza - anajua vizuri kwamba mihemuko yake inaweza kumtokea puani - Korea kasikazini haipo peke yake katika sakata hili yapo Mataifa yenye uwezo mkubwa kijeshi ambayo yapo tayari kuisaidia Korea Kasikazini kwa kificho, ndiyo maana Kim anajiamini sana si hilo tu kumbuka vile vile kwamba Korea Kasikazini ilianza kufanya matayarisho ya kukabilana na majeshi/mashambulizi ya Merikani tangu miaka mid 1950s, Wakorea wote wa Kasikazini na majeshi yao wanajua nini cha kufanya in case vita ikitokea - Marekani hisipo kuwa makini katika sakata hili basi itajikuta inapata wakati mgumu sana kuliko vita ya Vietnam na WW2.
Tukumbuke kwamba Mataifa kama Uchina, Urusi, Iran na Korea wana usongo mkubwa sana wa kukomesha ujeuri wa U.S, wakipata kisingizio cha kumpa fundisho U.S hawatasita kufanya hivyo regardless ya hasara watakazo pata kutokana na uhamuzi wao, lakini na wao watahakikisha wanairudisha U.S back to stone age era ili isiendelee kuwa tishio kwa amani hapa Duniani, wana contigency plan za kushambulia mission critical infrastrucures za huko Merikani ambazo zinaweza kui-palalyse kiuchumi kwa miaka - hapa nazungumzia wakitumia conventional silaha/Mabom lakini pakitokea Nuclear Xchange Dunia yote ita angamia including waanzilishi wa vita, haya mambo yao ya USA kudai eti Nuclear War is winnable ni ndoto za mchana.